miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Tena msingi tu balaa. Ila jaman watu wamejengaaa. Huku dar kubaya sana[emoji23][emoji23]Naam mm nyumba yangu kule uchagani nikija bukoba najenga 2 kama hizo ,Moshi ni tofali za block time bukoba wanajengea tofali za kuchoma na simenti ni udongo Sissi Kilimanjaro 100% ni full siment
Acheni kuongea kuongea kwa hisia .Yaan anadai bk ndo wanatulisha dar? [emoji23][emoji23] yaan madereva wote wa fuso sijawahi ona aliyetoke huko na ndizi. Ndizi inatoka mbeya na moshi. Mbeya ndo wameanza juzi kati tu. Halaf huo mwendo wa ngiri fuso na tandam wanaotembea nao hapo moshi na hapa dar tu ni balaa. Hapo wanawahi ndizi isiivie njiani. Ama haelewi kqann mafuso yanakula mzinga sana? Sembuse umbali wa bk na dar? Si fuzo yote ndizi itaiva
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Cement bukoba ni 22k huko Moshi ni chini ya 14k Nina uhakika.Tena msingi tu balaa. Ila jaman watu wamejengaaa. Huku dar kubaya sana[emoji23][emoji23]
Siyo nikifa mukienda nizika muanze nisimanga. Lazima nijenge kitu cha heshima
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ardhi bukoba utapata.Mkuu nakuja nioate na mimi mtreme wangu huko. Heka bei gani?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hatukatai kama mnazalisha 60% ila mnakula wenyewe, haziji kwenye masoko ya dar, arusha na mbeya.Acheni kuongea kuongea kwa hisia .
Kagera ndo mkoa unazalisha asilimia 60 ya ndizi zote nchi hii.
Kilimanjaro na mbeya mnazalisha asilimia ndogo Sana hata mkiunganishwa hamfikii asilimia za mkoa wa kagera.
Acheni kuiangalia ndizi bukoba tu mkazani ndo pekeee zinalimwa bukoba [emoji23]
Bukoba kunalimwa aina zote za ndizi hata hizo ndizi Moshi . Ndizi bukoba zinalimwa wilaya moja ya muleba. Pengine ni aina nyingi za ndizi.
Tazama hiz report za serikali za uzalishaji wa ndizi.
Kagera ni 59.9%
Kilimanjaro 13%[emoji23]
Mbeya 6.6%
Mikoa mingine ndo wanashare asilimia zilozobaki[emoji23][emoji23]
Heshimu mkoa wa kagera kwa kuwalisha nyie wabongo.
Bado maharage,Sukari na vanillaView attachment 1953124
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mnazila wenyeweKijana unabisha Nini .
Kagera inazalisha asilimia 60 ya ndizi zote.
Tazama hiz takwimu.
View attachment 1952168
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Leta takwimu kwamba haziji darHatukatai kama mnazalisha 60% ila mnakula wenyewe, haziji kwenye masoko ya dar, arusha na mbeya.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mnazila wenyewe
Mnajifariji ukatoliki upo Bukoba kuanzia historia mpaka sasa hivi unaendelea, sijui kama huko Moshi mna kituo cha redio cha kanisa, vipi cathedral kama la Bukoba. Ukatoliki kwenu bado kwa Bukoba labda mpambane na Iringa au Songea hukoHalaf kuna watu walikua wanalalamika mpaka na hili jamani[emoji23] nilishangaa. Nikasema hv hawoani hii idadi ya mapadre kweli? Ni wengi mno. Ila ukoo wangu ndo uma shida[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] sijawhai sikia padre aisee. Rombo kule ni nyum apadre nyumba padre. Kwetu shida ni nn.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] aisee imenibidi nicheke, yaani meli inabeba kila siku kusambaza kanda ya ziwa yote bado mafuso yanabeba kuelekea kanda ya kati mpaka huko DarHatukatai kama mnazalisha 60% ila mnakula wenyewe, haziji kwenye masoko ya dar, arusha na mbeya.
Hadi magimbi sa hivi wanayafuata Bukoba kutoka Dar, kwa ufupi Bukoba kuna kila kitu sasa hivi migodi yote kanda ya ziwa wanafuata nguzo kutoka huku fuso zinapishana kila siku, bado mbao zote kanda ya ziwa zinatoka Bukoba[emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado kahawa 65 inatoka kagera
Vanilla 80%
Maharage 20%
Sukari 48%
Bado samaki na dagaa[emoji23]
Na mengine kibao.
Heshima kwa mkoa huu Lazima iwepo
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Serikali ndo wanajua Siri za mkoa huu ndo magu kila mwaka alikuwa hakosi mkoa huuHadi magimbi sa hivi wanayafuata Bukoba kutoka Dar, kwa ufupi Bukoba kuna kila kitu sasa hivi migodi yote kanda ya ziwa wanafuata nguzo kutoka huku fuso zinapishana kila siku, bado mbao zote kanda ya ziwa zinatoka Bukoba
Kilimo ambacho kilikuwa hakipo kwa Wahaya ni mpunga tu, lakini sa hivi wilaya zote za Wahaya wanalima mpunga kwa speed zote kuanzia muleba mpaka kyerwaAcheni kuongea kuongea kwa hisia .
Kagera ndo mkoa unazalisha asilimia 60 ya ndizi zote nchi hii.
Kilimanjaro na mbeya mnazalisha asilimia ndogo Sana hata mkiunganishwa hamfikii asilimia za mkoa wa kagera.
Acheni kuiangalia ndizi bukoba tu mkazani ndo pekeee zinalimwa bukoba [emoji23]
Bukoba kunalimwa aina zote za ndizi hata hizo ndizi Moshi . Ndizi bukoba zinalimwa wilaya moja ya muleba. Pengine ni aina nyingi za ndizi.
Tazama hiz report za serikali za uzalishaji wa ndizi.
Kagera ni 59.9%
Kilimanjaro 13%[emoji23]
Mbeya 6.6%
Mikoa mingine ndo wanashare asilimia zilozobaki[emoji23][emoji23]
Heshimu mkoa wa kagera kwa kuwalisha nyie wabongo.
Bado maharage,Sukari na vanillaView attachment 1953124
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kabisa na hakuna ardhi ambayo haitumiki huku hata milima imepandwa miti ya mbao, kiufupi huku watu wanapiga kaziSerikali ndo wanajua Siri za mkoa huu ndo magu kila mwaka alikuwa hakosi mkoa huu
Hadi alikuwa na Ranchi yake Kule karagwe
Bado ndo mkoa wenye ranch kubwa ya kitengule[emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kwani njaa kwenu imeisha? Kama takwimu hizo ni zenu mkoa isingekuwa maskini[emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado kahawa 65 inatoka kagera
Vanilla 80%
Maharage 20%
Sukari 48%
Bado samaki na dagaa[emoji23]
Na mengine kibao.
Heshima kwa mkoa huu Lazima iwepo
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ulishawahi kusikia njaa uhayani [emoji23]Kwani njaa kwenu imeisha? Kama takwimu hizo ni zenu mkoa isingekuwa maskini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo la Mchaga sio utapeli tu, anaweza kukuondoa hata kwa elfu 50 tu.
Jamaa wizi ni hobby
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda ulitaka kusema aliyekufa. Mlevi mmoja utamlinganishaje na watu watano wazima?
Hahaha Alikufa zamanEti eh[emoji23][emoji23]
Mchaga gan huyo anatetea watanzania?