Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu jamaa yuko serious na hii issueSi umeona ID maana yake
Muuaji [emoji13]
Huyu ni mkongwe flan huenda kuna kitu anatafuta hapa.
Spy flan ivi
Anajikuta Eagle[emoji86]
Sijalipata pata hakii unajua mi siyo mbea kiivoo![emoji23][emoji23][emoji23] Ning'ate sikio pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!![emoji85] unaniangusha kwamba huelew
We itakua yule mjeda upo lindo mida hii🤣🤣🤣 Mnataka kuhisi mimi ni smart?
Wa kupalipua ni wawili tu hakuna mwingine! Mmoja ndoivo najitoa ufahamu kama mtoa mada!! No straight answer mjiongezege![emoji13] watu wako na mission hapa.
Na ivi umekuja huenda huenda kukalipuka hapa
Hanaga huo ujinga wa multiple ids!! Nimejuaje mtajijuuuu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mnataka kuhisi mimi ni smart?
Haiwezakani kabisa.....angewezaje kutumia simu mpaka muda huu saa8 za usikuMjeda si yupo na mahondaw muda huu lakini.
Usiwasikilize wapambeeeee[emoji444][emoji444][emoji444] wanachotaka uongee ili kesho wakuchambe [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] vibayaaaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]Ila unaniangusha hutaki kuweka vitu hapa Dah.
🤣🤣🤣 Kumbe fulani alipoteza bahati kumuacha mtu mwenye kipaji kikubwa hiki.Usiwasikilize wapambeeeee[emoji444][emoji444][emoji444] wanachotaka uongee ili kesho wakuchambe [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] vibayaaaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]
Tuma bulungutu za msimbazi mkuu....jimbo liko wazi hiloLabda mjeda kasinzia na yeye kaona acha ajivinjali
Hahahahaha.. maybe mjeda karudi kutuliza fujo huko! Who knows!!Labda mjeda kasinzia na yeye kaona acha ajivinjali
Una uhakika niliachwa lakini??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe fulani alipoteza bahati kumuacha mtu mwenye kipaji kikubwa hiki.
Dunia haina huruma [emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji443][emoji444][emoji444][emoji444]