Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Natumaini akija kusoma atanipa mwongozo
Niamini mimi....
Nishakufungulia code
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumaini akija kusoma atanipa mwongozo
Basi ntakua nakujuza mwayaSo sad sikuhizi sina wa kunijuza ma udaku yanayoendelea jf on the spot ndo nauona huu uzi saivi lol!!!!!! Too late
Ngoja nisubiri aje tuendelee kujenga
Tena mwenyewe umetaka kutupa kwanini tusiupende.....Haha mnavopenda umbea sasa!!! !!! Naheshimu privacy za watu na namuheshimu yule bwana!!!!! pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!![emoji120][emoji120]
Pole kama hujawahi muonaIla mkuu nitakuja pm unipe machache kuhusu mahondaw maana anaonekana pisi kali
M.bo..oo haitakiwi kulala mdau [emoji3][emoji3]
Inasikitisha sanaM.bo..oo haitakiwi kulala mdau [emoji3][emoji3]
Hawara hana talaka...ukimtaka unampataUsiwasikilize wapambeeeee[emoji444][emoji444][emoji444] wanachotaka uongee ili kesho wakuchambe [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] vibayaaaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]
Hakuna masikitiko kwenye uchakatajiInasikitisha sana
Hatari kaka,ngoja nijongelee huko selfika na jfPole kama hujawahi muona
Mshana ana uzi wake wa selfika na jf sijui basi wenzio iyo mashine tuliionea huko hatari na nusu
Hahah wewe jamaa Mungu anakuonaTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana
Sidhani kama zipo alitupia na kuzifuta siku ileileHatari kaka,ngoja nijongelee huko selfika na jf
Hatari kakaSidhani kama zipo alitupia na kuzifuta siku ileile
Thread mod wamezilock[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nahisi jamaa alikua mhongaji mzuri na alikua baharia.
Wangendelea ingekuwa hatari.Kwahyo mjeda alivo Rudi ndio mahusiano yakafa, nimpe pole smart kwa [emoji3590] broken
Sifa za kijinga au siyo [emoji848][emoji16]Mahondaw na smart ni mtu mmoja,huwa anacomment na kujijibu ili kuturusha roho,namfahamu ni jiran yangu!