Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Nachosema tu ni kwamba hawara hana talaka

Smart atamt.omba tena huyu dada

Wanaume wenzangu mnaelewa hili....
Khakhakhaaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka kama mazuri vile lol! Can you thibitisharing your claim?[emoji15]
 
Mleta mada is trying his level nest kuchafua hali ya hewa Ila wapiiiii!!!![emoji23][emoji23][emoji23] Pole yake
Waambie mods wafungue thread zako zote [emoji12]

Usiogope Hadi wazifungie


Ili tuweze comment na kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
The chick outsmarted our dude, this make him better know as idiot911

Bhwahahahah
 
Waambie mods wafungue thread zako zote [emoji12]

Usiogope Hadi wazifungie


Ili tuweze comment na kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weeeeeeeehhhh!! Ili mgundue nini???? !!
 
Khakhakhaaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka kama mazuri vile lol! Can you thibitisharing your claim?[emoji15]
Siyo claim hayo ni maelezo tu

Nishapiga na bado napiga hawara zangu mpaka sasa na wengine wameolewa kabisa ila tu muwe mmeachana kwa amani.....
 
Siyo claim hayo ni maelezo tu

Nishapiga na bado napiga hawara zangu mpaka sasa na wengine wameolewa kabisa ila tu muwe mmeachana kwa amani.....
Sio Mimi aisee if I move sigeuki!!!!
Unachosema nikweli Ila inategemea na mwanamke/mwanaume kujisimamia! Maybe Una some extra factors ambazo waliko hawazipati but mtu Kama huna sababu no way back aisee!!!
Orelse mliachana still mtu anakua anakupenda Ila Hana namna kupata wa kumpoza maumivu matokeo yake ndohayo!
 
Back
Top Bottom