Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Connection mzee baba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ongezea na kukunwa vizuriSio Mimi aisee if I move sigeuki!!!!
Unachosema nikweli Ila inategemea na mwanamke/mwanaume kujisimamia! Maybe Una some extra factors ambazo waliko hawazipati but mtu Kama huna sababu no way back aisee!!!
Orelse mliachana still mtu anakua anakupenda Ila Hana namna kupata wa kumpoza maumivu matokeo yake ndohayo!
Sio Mimi aisee if I move sigeuki!!!!
Unachosema nikweli Ila inategemea na mwanamke/mwanaume kujisimamia! Maybe Una some extra factors ambazo waliko hawazipati but mtu Kama huna sababu no way back aisee!!!
Orelse mliachana still mtu anakua anakupenda Ila Hana namna kupata wa kumpoza maumivu matokeo yake ndohayo!
Muosha huoshwaSiyo claim hayo ni maelezo tu
Nishapiga na bado napiga hawara zangu mpaka sasa na wengine wameolewa kabisa ila tu muwe mmeachana kwa amani.....
Mdau kwenye mapenzi huwa sipendagi vijembe nayajua haswa...Muosha huoshwa
Yeah pia Inaingia humo kwenye other factors! Kwa kumbukumbu zangu Mwamba kwahilo unasifika kuwa si khaba!![emoji15][emoji2960] Una boonge la wanaachaje kukutafuta kwa mfano!,Ongezea na kukunwa vizuri
[emoji3][emoji3]Yeah pia Inaingia humo kwenye other factors! Kwa kumbukumbu zangu Mwamba kwahilo unasifika kuwa si khaba!![emoji15][emoji2960] Una boonge la wanaachaje kukutafuta kwa mfano!,
Ni situation yenye kuumiza sana hasa kama mlipendana sana na watu wengi wakawa wanajuaNilishawahi kumuuliza Smart kwenye comment akasema they are no more. Niliumia kusema kweli. Sipendi watu waachane ingawa nishaachwa sana lakini sipendi kusema kweli.
Mi nilishtukiaga na nikawa nawaambia mtajatosana.Thread mod wamezilock[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha mahusiano itakuwa yalishia pabaya[emoji1787][emoji1787]Sana
Katika maisha yangu nimejifunza kitu kimoja kina nguvu Sana Sana Sana ni kwamba "don't reveal everything u know or u feel in the public ,you will attract negative energy"
Trust me negative energy is there to ruin your plans your future and everything [emoji2957]
Na "silence uplift your power,respect and wisdom"
Kuna tatizo kwani?? Maisha lazima yaendelee msikompliketi kiivo wapendwa! Amani ipo![emoji3577][emoji3577]Mi nilishtukiaga na nikawa nawaambia mtajatosana.
Wazoefu wa izi kazi tulishaona dalili.
Mie nilipitwa mbona jomoneeeh lol.Mbona waliachana kitambo baada ya fumanizi mkuu?
Smart alikuwa anamwaga hela kwa Mahonda kama njugu, kumbe bibie anaruka vijoti nje. hukuona mpaka uzi ulianzishwa hapa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka kusema mwana alikuwa na mipango ya pochi ila ya kiuno hana? [emoji23]
Duuuh mbna mambo ni mazito hivi lol.Jamaa alikuwa analishwa mbususu ya mke wa mjeda alie mission huko Kati
Ana bahati Sana mjeda angekujua angefumua ubongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wanawake ni hatari[emoji1787][emoji1787]
Uzi huo uko wapi? Nilipitwa mie lol.Hujasoma bibiye aliweka uzi wake hapa kwamba yeye ni mama wa watoto wawili na ni mke wa mjeda...
Unless kama unataka tumlengeshe mjeda kwamba Dead Man ndio Smart aje akufumue medula oblongata...