Kunani kati ya Smart911 na Mahondaw?

Wa kupalipua ni wawili tu hakuna mwingine! Mmoja ndoivo najitoa ufahamu kama mtoa mada!! No straight answer mjiongezege!
Ila unaniangusha hutaki kuweka vitu hapa Dah.
 
Hanaga huo ujinga wa multiple ids!! Nimejuaje mtajijuuuu!!
Hapo sikupingi maana mimi ni mgeni humu.
Hata hivyo mwanzo wengine walinihakikishia eti mimi ni wewe Dah.
 
Ila unaniangusha hutaki kuweka vitu hapa Dah.
Usiwasikilize wapambeeeee[emoji444][emoji444][emoji444] wanachotaka uongee ili kesho wakuchambe [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] vibayaaaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]
 
Usiwasikilize wapambeeeee[emoji444][emoji444][emoji444] wanachotaka uongee ili kesho wakuchambe [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] vibayaaaa[emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]
🀣🀣🀣 Kumbe fulani alipoteza bahati kumuacha mtu mwenye kipaji kikubwa hiki.

Dunia haina huruma 🎢🎢🎢🎼🎼🎼🎡🎡🎡
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe fulani alipoteza bahati kumuacha mtu mwenye kipaji kikubwa hiki.

Dunia haina huruma [emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji443][emoji444][emoji444][emoji444]
Una uhakika niliachwa lakini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…