Kunani Tarura kuhusu Malipo ya Makandarasi

Arch Barrel

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2024
Posts
434
Reaction score
1,126
Habari za asubuhi wakuu. Huu ni mwezi 3, Makandarasi wengi hawajalipwa hela zao, kibaya zaidi wamekaa kimya na hawatoi taarifa yoyote kwa makandarasi, mbaya zaidi kesho ndio mwisho wa mwaka baada ya hapo waatafunga mifumo yao ya malipo, lakn bado wanaendelea kuhimiza makandarasi wafanye kazi.

Wakuu kama kuna mwenye taarifa na huu ukimya hebu tusaidiane ili angalau tupate mwongozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…