kunani uimbaji huu

kunani uimbaji huu

Kiteitei

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2009
Posts
1,595
Reaction score
1,540
nimekuwa nikihudhuria maonesho na matamasha mengi ambayo yanahusisha muziki wa kizazi kipya (bongo flavor), kuna hii aina ya uimbaji ambayo karibuni kila muimbaji anaitumia na sijui kama ndio fasheni yenyewe, au ni kuiga ama ni majonjo tu au ni nini,NI hivi, waimbaji asilimia kubwa, kama sio wote wanapokuwa jukwaani wakiperform mkono mmoja unakuwa umeshika microphone na wa mwingine ( mara nyingi wa kulia) unang'ang'ania kwenye suruali kwa mbele., nisaidieni huwa kuna nini huko? (mic ya pili???)mwanzo nilidhani labda wanashikilia suruali zisidondoke hasa ukizingatia na style zao za uvaaji za kata k, au labda wanajikuna kidizaini lakini nadhani sivyo! binafsi naona kama inakera na inapoteza maadili, sijui mwenzangu...
 
nimekuwa nikihudhuria maonesho na matamasha mengi ambayo yanahusisha muziki wa kizazi kipya (bongo flavor), kuna hii aina ya uimbaji ambayo karibuni kila muimbaji anaitumia na sijui kama ndio fasheni yenyewe, au ni kuiga ama ni majonjo tu au ni nini,NI hivi, waimbaji asilimia kubwa, kama sio wote wanapokuwa jukwaani wakiperform mkono mmoja unakuwa umeshika microphone na wa mwingine ( mara nyingi wa kulia) unang'ang'ania kwenye suruali kwa mbele., nisaidieni huwa kuna nini huko? (mic ya pili???)mwanzo nilidhani labda wanashikilia suruali zisidondoke hasa ukizingatia na style zao za uvaaji za kata k, au labda wanajikuna kidizaini lakini nadhani sivyo! binafsi naona kama inakera na inapoteza maadili, sijui mwenzangu...

Ulishahudhuria perfomance ya Lady Jayde,Mwasiti,maunda Zoro,Nakaaya Sumari, wao wanashika wapi?hapo patamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Blame it on Michael Jackson, the rest are follow fashion fudging fakes.
 
Blame it on Michael Jackson, the rest are follow fashion fudging fakes.

Hata ukimfuata mwimbaji wa bongofleva hawezi kukupa jibu sahihi la kwanini wanafanya vile!.
Na ieleweke aina hii ya music ni ya kuiga toka nje, si wa asili yetu.
So we are just COPYCATS, and we do take whatever comes to our way without editions, poor we!
 
Ulishahudhuria perfomance ya Lady Jayde,Mwasiti,maunda Zoro,Nakaaya Sumari, wao wanashika wapi?hapo patamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

mkuu!! duuuu! nisamehe kwa kutoliweka wazi , nimeliona hili kwa wanaume na si kwa kinadada
 
nimekuwa nikihudhuria maonesho na matamasha mengi ambayo yanahusisha muziki wa kizazi kipya (bongo flavor), kuna hii aina ya uimbaji ambayo karibuni kila muimbaji anaitumia na sijui kama ndio fasheni yenyewe, au ni kuiga ama ni majonjo tu au ni nini,NI hivi, waimbaji asilimia kubwa, kama sio wote wanapokuwa jukwaani wakiperform mkono mmoja unakuwa umeshika microphone na wa mwingine ( mara nyingi wa kulia) unang'ang'ania kwenye suruali kwa mbele., nisaidieni huwa kuna nini huko? (mic ya pili???)mwanzo nilidhani labda wanashikilia suruali zisidondoke hasa ukizingatia na style zao za uvaaji za kata k, au labda wanajikuna kidizaini lakini nadhani sivyo! binafsi naona kama inakera na inapoteza maadili, sijui mwenzangu...

Mkuu, ukiangalia majority ya hao vijana wanavaa nguo kubwa mno kulingana na miili yao, inabidi hizo suruali wazishikilie zisivuke... na sehemu rahisi kushika ni kwenye flaiz lasivyo ingebidi washike kiunoni na makalioni [na huko nako wanataka mlegezo uonyeshe designed pants

kaazi kwelikweli........
 
Ulishahudhuria perfomance ya Lady Jayde,Mwasiti,maunda Zoro,Nakaaya Sumari, wao wanashika wapi?hapo patamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
mkuu kwani hao uliowataja ni waimbaji wa bongo flava!? naomba msaada wako wa kunielewesha msee.
icon12.gif
 
Ukiona hivyo ujue kuna mwanamuziki mmoja wa nje walimwona siku moja anaimba huku kashika suruali, pengine kwa bahati mbaya alikuwa na matatizo siku hiyo, wenzetu wakaiga wakidhani ni fasheni.

Tabu kwelikweli.
 
Mkuu, ukiangalia majority ya hao vijana wanavaa nguo kubwa mno kulingana na miili yao, inabidi hizo suruali wazishikilie zisivuke... na sehemu rahisi kushika ni kwenye flaiz lasivyo ingebidi washike kiunoni na makalioni [na huko nako wanataka mlegezo uonyeshe designed pants

kaazi kwelikweli........

sawasawa mkuu,upo sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom