Kundi jingine linalojumuisha watu wajinga ni mashabiki wa mpira wa miguu

Kundi jingine linalojumuisha watu wajinga ni mashabiki wa mpira wa miguu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.

Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiriwa) na wewe na uzuzu wako unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.

Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa.

Hata Kenya haujawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.

Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).

Mashabiki wa soka acheni ujinga.

Huko Ulaya hawahangahiki na vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku.

Wake zenu mnawaachia bodaboda.
 
Wameamua kuchagua sehemu itakayowapa faraja.

Walijaribu kujitoa muhanga kwa wanasiasa wa CCM wakakosa furaha, maji hakuna, umeme hakuna, sukari hakuna.
Walimuunga mkono Lissu, Leo hii anasema wanae ni raia wa USA.
Walimuunga mkono Mbowe kaanzisha maridhiano na CCM kapiga mpunga anatuenjoy kwenye maandamano.
Walimuunga mkono marehemu EL karudi kulekule nyumbani CCM wa wahuni wenzie.
 
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.
Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiri wa) unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.
Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa. Hivi hata Kenya haijawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.
Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).
Mashabiki wa soka acheni ujinga.
Huko Ulaya hawahangahiki ni vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku. Wake zenu mnawaachia bodaboda
Kongole mkuu. Yani we acha tu. Utayakuta mavijana yametengeneza kiringi asubuhi saa 2-3 wanapiga makelele ya kubishania timu za mpira za huko Ulaya na mengi yamefikia hata kuvaa jezi za timu hizo. Hawatafuti pesa bali wanachonga midomo tu - ushabiki. Mznyvuuu. Jinga sana. Wamekazania kuchanganya Jogoo na Energy (50%-50%) halafu wanajiona wapo matawi ya juu wanaupiga mwingi.😜
 
Hii nchi wote tulizaliwa mashabiki wa Yanga ila baada
Ya haya mambo kuanza kusumbua watu
Njaa kali
Upungufu wa hela
Chuki
Ujinga
Maradhi
Upungufu wa lishe
Uchawi
Nyege

Ndio tukapata mashabiki wa Mikia!!
Asante
 
kwenye maisha kuna burudani tofauti tofauti michezo,muziki,kula bata n,k na kila burudani kuna walevi wa burudani husika.
kuna watu walizimia na wakalazwa hospitali kisa Michael Jackson.tena wazungu tunaoambiwa akili kubwa.
 
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.

Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiriwa) na wewe na uzuzu wako unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.

Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa.

Hata Kenya haujawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.

Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).

Mashabiki wa soka acheni ujinga.

Huko Ulaya hawahangahiki na vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku.

Wake zenu mnawaachia bodaboda.
Unachanganyikiwa?
 
Kama jinsi wewe unavyoweza kwenda beach wakati mwingine kulipia kiingilio na kuvaa mavazi ya kubana kuogelea, au unavyotazama tv kwa program ambazo wakati mwingine maudhui yake yanatoka huko ng'ambo, ndivyo wanaotazama mpira wanapata burudani hiyo. Furaha ya mtu mmoja si lazima iwe furaha ya mtu mwingine.Malengo ya mtu mwingine ai lazima yafanane na mtu mwingine.Kama jinsi furaha yako ni kuketi high tables au kutazama tamthilia wengine furaha yao ni kucheza singeli & they don't give a fu*k about your opinion just like you don't give a fu*k about furaha yako.So jifunze kuheshimu furaha za watu, kama mpira ndiyo furaha yao and they can do anything about it just let them do their shit, kama mziki ni furaha yao na wanamkubali msanii fulani (wengine mpaka wanaiga mitindo ya mavazi ya baadhi ya wasanii), just heshimu furaha ya mwenzako! mwisho wa siku lengo la maisha ni kufurahi.
 
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.

Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiriwa) na wewe na uzuzu wako unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.

Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa.

Hata Kenya haujawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.

Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).

Mashabiki wa soka acheni ujinga.

Huko Ulaya hawahangahiki na vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku.

Wake zenu mnawaachia bodaboda.
Sijasoma ulicho andika ila mimi nikiwa jiniasi wa kuwatambua wapumbavu na upumbavu wao nakuunga mkono kundi la mashabiki wa mpira ni kundi la wapumbavu kuliko hata wanao beti mikeka .....licha watu wengine udhani wanso beti mipira ni wapumbavu zaidi ila ukweli ni kinyume chake baadhi ya watu wanacheza bet za mipira ila uwezi kuwakuta wanashabikia mipira kipumbavu kama ilivyo kwa tz ....hadi wanasiasa wapumbavu wa ccm wanawatumia kwenye mambo ya kipumbavu ili kuwapoteza wasitazame mambo ya msingi ya taifa
 
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.

Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiriwa) na wewe na uzuzu wako unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.

Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa.

Hata Kenya haujawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.

Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).

Mashabiki wa soka acheni ujinga.

Huko Ulaya hawahangahiki na vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku.

Wake zenu mnawaachia bodaboda.
Japo umeandika kwa jazba, kejeli na dharau ila huo ndo ukweli, mashabiki wa kibongo wa mpira ni kama wana mapungufu ya akili! Angalau huwa nawaelewa maafisa ubashiri wanapoumizwa na matokeo maana wanakuwa kwenye uzalishaji pale na si hao mashabiki njaa wanaoendekeza ushabiki usio na faida yoyote kwenye maisha yao.
 
Ukiacha Yanga, finalist wa kombe la shirikisho na bingwa wa kudumu na mara zote wa Afrika Mashariki na kati na Tanzania, timu ambayo imeleta uhuru wa nchi yangu, siwezi kuangalia mpira mwingine.
Kwahiyo ushapaka rangi kichwani!?
 
Back
Top Bottom