Kundi jingine linalojumuisha watu wajinga ni mashabiki wa mpira wa miguu

Kundi jingine linalojumuisha watu wajinga ni mashabiki wa mpira wa miguu

kwenye maisha kuna burudani tofauti tofauti michezo,muziki,kula bata n,k na kila burudani kuna walevi wa burudani husika.
kuna watu walizimia na wakalazwa hospitali kisa Michael Jackson.tena wazungu tunaoambiwa akili kubwa.
Ni sawa, lakini uangalie pia na aina ya burudani unayojitumbukizamo. Burudani gani vijana hawafanyi shughuli ya kuingiza walau senti mfukoni au kujiongezea afya bali wanatumia au kupoteza muda saa za kufanya kazi/shughuli za kiuchumi ?
 
Na vipi mashabiki wa manabii kama kina Mwamposa?
Hao wote unaowaona Huko Kwa manabii, uwanjani na mikutano ya siasa ndiyo haohao usifikiri kuna kundi tofauti....Leo wakija chadema wanaenda kujaa na kesho wakija CCM wataenda tena kujaa na keshokutwa akija diamond watafurika na keshoyake akija alli kiba watajaa kama kawaida.
Watanzania ni zaidi ya mazombi
 
Hii nchi Uhuru umepitiliza mpaka mtu mmoja anajiona ni mwerevu na ana uwezo wa kuwapangia watu wengine tena asiowajua wapendwa anachotaka yeye
 
Ukiweza kukaa na mkeo mkaangalia sinema zetu au morning trumpet kila siku shukuru Mungu una hiyo amani lakini pia jifunze kuheshimu burudani ya mtu ya mtu mwingine as long as havunji maadili ya jamii au sheria za nchi wewe muache. Kuja kwa jazba ukiongea kwa kashfa na kejeli kuhusu furaha ya mtu mwingime ni ishara bado hujastaarabika na hukufunzwa vizuri.
 

Attachments

  • Screenshot_20231127_215101_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20231127_215101_WhatsAppBusiness.jpg
    126.9 KB · Views: 3
Kuna aina ya ushabiki kweli ni kama wendawazimu au kuwehuka
 
Ni sawa, lakini uangalie pia na aina ya burudani unayojitumbukizamo. Burudani gani vijana hawafanyi shughuli ya kuingiza walau senti mfukoni au kujiongezea afya bali wanatumia au kupoteza muda saa za kufanya kazi/shughuli za kiuchumi ?
sio kweli ni maneno yako tu unapaka matope.akuna burudani ya bure wahusika wanatenga muda wa burudani na wa kazi,na maisha yanasonga.

ni tofauti na wanaoshinda nyumba za ibada kutwa nzima wanaimba awafanyi kazi ni kumbwela tu.
 
sio kweli ni maneno yako tu unapaka matope.akuna burudani ya bure wahusika wanatenga muda wa burudani na wa kazi,na maisha yanasonga.

ni tofauti na wanaoshinda nyumba za ibada kutwa nzima wanaimba awafanyi kazi ni kumbwela tu.
Basi mkuu ujue hapo kuna Walakini kwa kuwa muda wa burudani watu wengi huuweka kuwa ni jioni(Magharibi) na sio muda wa asubuhi saa 2-5. Ni kweli Burudani ni muhimu ila sio kipaumbele asubuhi.
 
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.

Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiriwa) na wewe na uzuzu wako unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.

Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa.

Hata Kenya haujawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.

Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).

Mashabiki wa soka acheni ujinga.

Huko Ulaya hawahangahiki na vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku.

Wake zenu mnawaachia bodaboda.
Umewakataza kushabikia ULAYA, unawananga kushabikia Timu za Tanzania .

Tueleze haswa lengo lako nn?
 
Kwann arsenal!?😂😂😂😂 umekutana na raia mwemye majonzi mbio za uefa zinafikia ukingoni kwa porto tu, anyway mtoa mada linda sana goli lako
 
Nilitaka niwaite wapumbavu lakini naona litakuwa neno kali sana.

Hivi mtu anapokea mshahara kuhamasisha watu waingie kwa wingi uwanjani anakushawishi ukunje kaptura eti kumuenzi mchezaji mpira (mwajiriwa) na wewe na uzuzu wako unakunja, Jumamosi wameambiwa wapake bleach kichwani, watafanya.

Mpira unachezwa Ulaya wewe kenge unashindwa kula huku eti naumia nimefungwa.

Hata Kenya haujawahi kufika leo hii unaumia kisa Arsenal ya Uingereza imefungwa
Maskini shetani kaiba ufahamu wako.

Eti kijana hata laki 5 ya pamoja hajawahi kuikamata leo hii anamtambia mwenzake kuwa kamnunua Messi (billionaire).

Mashabiki wa soka acheni ujinga.

Huko Ulaya hawahangahiki na vitimu vyenu nyie ligi kuu ya Ulaya ikianza nyumbani munarudi saa 7 usiku.

Wake zenu mnawaachia bodaboda.
Wewe pia unaongeza idadi ya wale wenye magonjwa ya AKILI...

Unapomchukia na kumtusi binadamu mwingine ambaye yumkini humfahamu wala hujawahi kumuona tambua kwamba unahitaji ushauri na tiba ya ugonjwa wa akili

Jioni njema

Kesho ni Simba SC dhidi ya ASEC
 
Ww mbona unapenda mambo ya ushoga tumekuacha tu hatukusem ss kupenda mpira ndo unatuona wapumbavu
 
Back
Top Bottom