Kundi la wababaishaji wa kisiasa ni lipi kati ya haya?

Kundi la wababaishaji wa kisiasa ni lipi kati ya haya?

Joined
Nov 5, 2021
Posts
40
Reaction score
24
Katika kuzingatia màhitaji ya wakati huu kisiasa, watu wengi wamejiweka katika nafasi za kisiasa na kila mmoja akijiona mbobezi wa mambo ya siasa na mchambuzi mahili, hapa yamejitokeza makundi kadhaa kwenye Jamii zetu ambayo.

1) Wasomi na wahitimu wa vyuo vikuu bila kujali amesomea nini wenye ajira na wasio na ajira.

2) Wajasiliamali na wafanya Biashara mbalimbali. Hawa ni wanasiasa wakosoaji.

3) Wazee na vijana wa vijiwe vya kahawa, bodaboda n.k. Hawa ni wachambuzi na watabiri wa mambo yote yahusuyo wanasiasa na siasa kwa ujumla katika Taifa letu.

4) Wanasiasa na viongozi wetu katika ngazi zote za kiutendaji.

Swali langu: Je, lipi katika makundi haya Manne ni wababaishaji wa kisiasa katika Jamii na Taifa letu kiujumla?

Screenshot_20220105-105406~2.png
 
Mama anamuamini sana Kikwete lakini historia iko Wazi kuwa huyo bwana sio wa kumuamini, anaweza kugeuka wakati wowote kulinda maslahi yake!! Kuna Rafiki wa damu aliyekuwa naye zaidi ya Ngoyai?

Wote tunajua kilichotokea hivyo Samia lazima akae mguu sawa ama sivyo akikaa mguu upande tu imekula kwake! Atajikuta amerudi MAKUNDUCHI.
 
Mama anamuamini sana Kikwete lakini historia iko Wazi kuwa huyo bwana sio wa kumuamini, anaweza kugeuka wakati wowote kulinda maslahi yake!! Kuna Rafiki wa damu aliyekuwa naye zaidi ya Ngoyai?

Wote tunajua kilichotokea hivyo Samia lazima akae mguu sawa ama sivyo akikaa mguu upande tu imekula kwake!
Nani ni mbabaishaji kwa maelezo yako yupo katika kundi lipi
 
Mama anamuamini sana Kikwete lakini historia iko Wazi kuwa huyo bwana sio wa kumuamini, anaweza kugeuka wakati wowote kulinda maslahi yake!! Kuna Rafiki wa damu aliyekuwa naye zaidi ya Ngoyai?

Wote tunajua kilichotokea hivyo Samia lazima akae mguu sawa ama sivyo akikaa mguu upande tu imekula kwake!
Umenikumbusha Ngoyayi ! Duh !!
 
Katika kuzingatia màhitaji ya wakati huu kisiasa, watu wengi wamejiweka katika nafasi za kisiasa na kila mmoja akijiona mbobezi wa mambo ya siasa na mchambuzi mahili, hapa yamejitokeza makundi kadhaa kwenye Jamii zetu ambayo.

1) Wasomi na wahitimu wa vyuo vikuu bila kujali amesomea nini wenye ajira na wasio na ajira.

2) Wajasiliamali na wafanya Biashara mbalimbali. Hawa ni wanasiasa wakosoaji.

3) Wazee na vijana wa vijiwe vya kahawa, bodaboda n.k. Hawa ni wachambuzi na watabiri wa mambo yote yahusuyo wanasiasa na siasa kwa ujumla katika Taifa letu.

4) Wanasiasa na viongozi wetu katika ngazi zote za kiutendaji.

Swali langu: Je, lipi katika makundi haya Manne ni wababaishaji wa kisiasa katika Jamii na Taifa letu kiujumla?

View attachment 2072749
Wababaishaji ni hawa ambao wametuongoza miaka 60 lakini bado wanaongelea mashimo ya vyoo
 
Kwani mashimo ya vyoo si muhimu Boss au hayo mashimo yanakuja na agenda kandamizi nyuma yake hatimaye yanapelekea ubabaishaji kisiasa....nieleweshe nielewe
Wababaishaji ni hawa ambao wametuongoza miaka 60 lakini bado wanaongelea mashimo ya v
 
Mama anamuamini sana Kikwete lakini historia iko Wazi kuwa huyo bwana sio wa kumuamini, anaweza kugeuka wakati wowote kulinda maslahi yake!! Kuna Rafiki wa damu aliyekuwa naye zaidi ya Ngoyai?

Wote tunajua kilichotokea hivyo Samia lazima akae mguu sawa ama sivyo akikaa mguu upande tu imekula kwake!
Ngoyai hakua rais
 
Kwani mashimo ya vyoo si muhimu Boss au hayo mashimo yanakuja na agenda kandamizi nyuma yake hatimaye yanapelekea ubabaishaji kisiasa....nieleweshe nielewe
Miaka 60 ya uhuru unaongelea mashimo ya vyoo wakati waliopata uhuru nyuma yetu na hawana rasilimali kama zetu wameshatoka kwenye mashimo ya vyoo wanaongelea teknolojia ya juu ikiwepo kutengeneza simuna kurusha satelite angani
 
Miaka 60 ya uhuru unaongelea mashimo ya vyoo wakati waliopata uhuru nyuma yetu na hawana rasilimali kama zetu wameshatoka kwenye mashimo ya vyoo wanaongelea teknolojia ya juu ikiwepo kutengeneza simuna kurusha satelite angani
Nimekuelewa kwa tafsirie nyingine kama tilioni 1.3 zimejenga madarasa elfu nane kwa mujibu wa taarifa zao.... tilioni 29 ujenzi wa JNHPP,SGR,MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA, N.K Pesa pia inabaki sasa chukua tilioni 72 toa tilioni 30.3 utapata jibu hizo zingine zilitumikaje ikiwa matokeo ya deni la Taifa ukilinganisha na ukuaji wa maendeleo Bado kuna fumbo kubwa
 
Katika kuzingatia màhitaji ya wakati huu kisiasa, watu wengi wamejiweka katika nafasi za kisiasa na kila mmoja akijiona mbobezi wa mambo ya siasa na mchambuzi mahili, hapa yamejitokeza makundi kadhaa kwenye Jamii zetu ambayo.

1) Wasomi na wahitimu wa vyuo vikuu bila kujali amesomea nini wenye ajira na wasio na ajira.

2) Wajasiliamali na wafanya Biashara mbalimbali. Hawa ni wanasiasa wakosoaji.

3) Wazee na vijana wa vijiwe vya kahawa, bodaboda n.k. Hawa ni wachambuzi na watabiri wa mambo yote yahusuyo wanasiasa na siasa kwa ujumla katika Taifa letu.

4) Wanasiasa na viongozi wetu katika ngazi zote za kiutendaji.

Swali langu: Je, lipi katika makundi haya Manne ni wababaishaji wa kisiasa katika Jamii na Taifa letu kiujumla?

View attachment 2072749
Nyuzi za wanaccm za malalamiko zimekuwa nyingi sasa. Tuacheni tupumue
 
Back
Top Bottom