Kundi la wababaishaji wa kisiasa ni lipi kati ya haya?

Kundi la wababaishaji wa kisiasa ni lipi kati ya haya?

Miaka 60 ya uhuru unaongelea mashimo ya vyoo wakati waliopata uhuru nyuma yetu na hawana rasilimali kama zetu wameshatoka kwenye mashimo ya vyoo wanaongelea teknolojia ya juu ikiwepo kutengeneza simuna kurusha satelite angani
1961, Tanganyika ilikuwa na idadi ya raia milioni 9 tu.Ndani ya miaka 60 tayari raia ni 60 milioni pia.Ajabu mpaka leo ardhi ya Tz imejaa mapori badala ya mashamba ya kilimo,mifugo n.k.Yaani raia karibu nusu ya idadi wapowapo tu kupiga kelele badala ya kulisaidia taifa.
Ngazi ya watawala ni sehemu ndogo sana ya raia 60 milioni!Ni ujinga kufikiri viongozi wachache hawa,ndiyo wenye dhamana ya kuliletea taifa maendeleo bila ya sisi wenyewe kushiriki kwa nguvu na maarifa yetu.
 
1961, Tanganyika ilikuwa na idadi ya raia milioni 9 tu.Ndani ya miaka 60 tayari raia ni 60 milioni pia.Ajabu mpaka leo ardhi ya Tz imejaa mapori badala ya mashamba ya kilimo,mifugo n.k.Yaani raia karibu nusu ya idadi wapowapo tu kupiga kelele badala ya kulisaidia taifa.
Ngazi ya watawala ni sehemu ndogo sana ya raia 60 milioni!Ni ujinga kufikiri viongozi wachache hawa,ndiyo wenye dhamana ya kuliletea taifa maendeleo bila ya sisi wenyewe kushiriki kwa nguvu na maarifa yetu.
Navyojua mimi hawa wachache wana Nguvu kuliko wengi ndo maana tunashindwa kutimiza matakwa ya wengi wanyonge hivyo hakuna mwembamba anaweza kuvaa nguo ya kibonge mpaka aipunguze kuwa saizi yake ili imtoshe.....
 
1961, Tanganyika ilikuwa na idadi ya raia milioni 9 tu.Ndani ya miaka 60 tayari raia ni 60 milioni pia.Ajabu mpaka leo ardhi ya Tz imejaa mapori badala ya mashamba ya kilimo,mifugo n.k.Yaani raia karibu nusu ya idadi wapowapo tu kupiga kelele badala ya kulisaidia taifa.
Ngazi ya watawala ni sehemu ndogo sana ya raia 60 milioni!Ni ujinga kufikiri viongozi wachache hawa,ndiyo wenye dhamana ya kuliletea taifa maendeleo bila ya sisi wenyewe kushiriki kwa nguvu na maarifa yetu.
Hakuna Administration ambayo imeipa umuhimu wake sekta ya kilimo.
 
Mama anamuamini sana Kikwete lakini historia iko Wazi kuwa huyo bwana sio wa kumuamini, anaweza kugeuka wakati wowote kulinda maslahi yake!! Kuna Rafiki wa damu aliyekuwa naye zaidi ya Ngoyai?

Wote tunajua kilichotokea hivyo Samia lazima akae mguu sawa ama sivyo akikaa mguu upande tu imekula kwake! Atajikuta amerudi MAKUNDUCHI.
Kikwete ndiye mwenyekiti wa CCM Mstaafu ambaye ana akili timamu.

Mwinyi hajielewi kutokana na uzee.

Hakuna namna serikali na CCM watamuepuka sasa hivi baada ya Mkapa kufa.

Mnapenda sana kumshambulia Kikwete bila sababu wakati ni kiongozi mwenye UTU sana na anapenda sana kila mtu anapata haki yake hata kama siyo 💯

Wakati wa Magu karibu kila mtu alimMISD Kikwete.

Mibongo jieleweni mnataka nini na punguzeni KUPIGA DOMO na MBOYOYO.
 
Mama anamuamini sana Kikwete lakini historia iko Wazi kuwa huyo bwana sio wa kumuamini, anaweza kugeuka wakati wowote kulinda maslahi yake!! Kuna Rafiki wa damu aliyekuwa naye zaidi ya Ngoyai?

Wote tunajua kilichotokea hivyo Samia lazima akae mguu sawa ama sivyo akikaa mguu upande tu imekula kwake! Atajikuta amerudi MAKUNDUCHI.
Uchonganishi hautalisaidia taifa hili.Mh.Kikwete na Rais Samia wote ni wana CCM,hata wakishauriana/kufarakana sisi hapa jf haituhusu.
Sisi wananchi wa Tanzania tunataka kuandika Katiba mpya na hatutazuiliwa na waajiriwa wetu-Iwe ni CCM ama wasiojulikana no matter how long it will take.
 
Kikwete ndiye mwenyekiti wa CCM Mstaafu ambaye ana akili timamu.

Mwinyi hajielewi kutokana na uzee.

Hakuna namna serikali na CCM watamuepuka sasa hivi baada ya Mkapa kufa.

Mnapenda sana kumshambulia Kikwete bila sababu wakati ni kiongozi mwenye UTU sana na anapenda sana kila mtu anapata haki yake hata kama siyo 💯

Wakati wa Magu karibu kila mtu alimMISD Kikwete.

Mibongo jieleweni mnataka nini na punguzeni KUPIGA DOMO na MBOYOYO.
Unamaanisha wabongo ni wababaishaji wa kisiasa hawajui Wafanyalo
 
Uchonganishi hautalisaidia taifa hili.Mh.Kikwete na Rais Samia wote ni wana CCM,hata wakishauriana/kufarakana sisi hapa jf haituhusu.
Sisi wananchi wa Tanzania tunataka kuandika Katiba mpya na hatutazuiliwa na waajiriwa wetu-Iwe ni CCM ama wasiojulikana no matter how long it will take.
Kwani Agenda za Watanzania zinasababishwa na Katiba Je Nini kifanyike ikiwa hakuna mchakato wa katiba kwa sasa..Au ni ubabaishaji kisiasa kwa viongozi wetu.
 
Unamaanisha wabongo ni wababaishaji wa kisiasa hawajui Wafanyalo
Wabongo wengi wanapenda SOGA kwahiyo wanapenda kuzungumzia KILA KITu hata kama hawakijui vizuri.

Na ni watu ambao ni easily tricked. Hawana wanachokiamini.

Hawajui kutofautisha maoni ya watu, propaganda, na uhalisia na ndio maana mtaani vitu wanavyoamini mwenyewe utachoka.

Mtu anaweza kuingia YouTube akaokota taarifa ya "Wazee wa Click baiting" na yeye akaanza kuisambaza kama ilivyo.

Na hili siyo tatizo kwa watu wasio na shule tu. Mpaka watu wazima ambao unadhani wana maana wako hivyo.
 
Wabongo wengi wanapenda SOGA kwahiyo wanapenda kuzungumzia KILA KITu hata kama hawakijui vizuri.

Na ni watu ambao ni easily tricked. Hawana wanachokiamini.

Hawajui kutofautisha maoni ya watu, propaganda, na uhalisia na ndio maana mtaani vitu wanavyoamini mwenyewe utachoka.

Mtu anaweza kuingia YouTube akaokota taarifa ya "Wazee wa Click baiting" na yeye akaanza kuisambaza kama ilivyo.

Na hili siyo tatizo kwa watu wasio na shule tu. Mpaka watu wazima ambao unadhani wana maana wako hivyo.
Nimekuelewa sana Nini kifanyike ili watu tufahamu wazalendo ndani ya Taifa kisiasa na wababaishaji kisiasa Ili kuweza kutofautisha propaganda na taarifa za kujadili katika makundi haya Manne....?
 
Back
Top Bottom