Haijalishi wanatumikaje. Mimi nawaona ni washamba na wajinga.Hao ndo vijana wa mfano kwa Makonda na CCM, wamefanikisha mei mosi kwa kishindo na ndo ubunifu wa ajabu wa RC
Lucas Mwashambwa
Acha kuweweseka. Ninyi CHADEMA ni wabaguzi ndio maana mnamuona kila mtu asiye waungeni mkoni ni adui yenu .matokeo yake mmejenga uadui na kila kundi.Hao ndo vijana wa mfano kwa Makonda na CCM, wamefanikisha mei mosi kwa kishindo na ndo ubunifu wa ajabu wa RC
Lucas Mwashambwa
Unasemaje wenyeji hawana shida nao wakati ujio wa Makonda alipewa angalizo kuwa Arusha kuna wadudu?Ni wewe unawaona hivyo ila wale jamaa haimaanishi arusha yote iko hivyo. Ni kundi dogo sana.
Pili wakazi au wenyeji hawana shida nao. Wewe unaona ni washamba, wenye jiji lao hawana shida nao kabisa. Agree to disagree kila sehem iko tofauti
Hizo ni akili zako binafsi maan hata wewe unae waona wao ni washamba na sisi tunakuona mshamba tena c kidgo huez chukulia kikundi kama sample ya mkoa wetu wote jarbu kutembea ujue ili uache kuropoka wew wakuja tuArusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawqpo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
Iweje hawa waandaliwe na Makonda aliyevamia Clouds kisha wewe uwalaumu Lema na Sabaya! Huku makamu wa rais aliwapigia makofi walipokuwa jukwaani! Hebu weka sawa hili.Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
Hata kabla ya hao WADUDU nimeona tabia na maisha ya watu wa Arusha muda mrefu tu NI WASHAMBA SANA. Huu ujiuo wa WADUDU ni muendelezo tu wa USHAMBA. Pia suala la kupenga makamasi hadharani na kutema makohozi mbele ya wenzako ni jambo la kawaida sana Arusha inatia kinyaa sanaHizo ni akili zako binafsi maan hata wewe unae waona wao ni washamba na sisi tunakuona mshamba tena c kidgo huez chukulia kikundi kama sample ya mkoa wetu wote jarbu kutembea ujue ili uache kuropoka wew wakuja tu
#hatufagilii ushamba sisi
#geneva of Africa
Kwahiyo bora panya road?Arusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
Wangemshangilia baba ndubwi na domokaya mngesema ni wajanjaArusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe
Sio ushamba ile ni style yao wamehuni ya kiutofauti na swaga zingi e yaani hiyo swaga hawajaiga sehemu wamebuni kama comedy fulaniArusha imebarikiwa sana katika maliasili, mazingira na hali ya hewa. Bahati mbaya INA WATU WASHAMBA SANA.
Nimewaona hata hawa vijana wanaojiita wadudu nikajisemea tu kuwa hiki ni kielelezo kimojawapo cha TABIA ZA KISHAMBA ZA WATU WA ARUSHA.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuvutiwa na UJINGA wa hivi.
Pia nikiwaangalia hawa vijana wa hovyoo inasababisha NIMTAFAKARI LEMA NA SABAYA huenda background yao ni kama hii maana nao wanapenda mafujofujo na ubabe