Kundi la wake za watu (wanawake) linaloongoza kutoka nje ya ndoa (kufanya ngono)

tuoe nani sasa?? Walimu ambao wanapata muda mref wa kukaa nyumban wakat mi nko kazini hadi saa 4 usiku?? Mwalimu ambae nae atataka mwalimu mkuu asimpangie "duty" kwa miezi 5? Mwalimu ambae nae ataenda kwa afisa elimu ili asihamishwe kituo?

Walimu, haiba, kazi na mafunzo yao yanawafanya kidogo wawe na hofu. Kuna unafuu mkubwa!
 
Wale wanaume wanao kwenda kufanya kazi SUDAN wako katika kundi gani?

7. Lakini wao badala ya masomo wameenda nje kikazi. Refer Ufoo nightmare.
 

Hao mara nyingi ni kama wanawamiliki wanaume zao. Yaani wana wanaume wa kuungaunga sana, walio wengi huwa hata hawaweki wazi kama wameolewa, wee unaona tu anazaa vitoto. Ila wapo wachache sana ndoa zao ni mfano wa kuigwa, sijui labda Mama Salma naye yumo!
 
Mhh mi hata sijui nipo kundi gani hapo...
Acha njikague
 
kucheat ni tabia tu ya mtu kuna watu wanafanya kazi na watu wao ofisi moja na bado wanacheat humo humo.

Nakubaliana na wewe mkuu, kuna wale wenye tabia exceptional za kucheat.
 

Mkuu hapa nimeongelea wanawake kwa ujumla au wake za watu. Makundi hayo mara nyingi wanaume na wanawake ni kitu kimoja. Hujawahi kuona misafara, mfano wa ikulu, mbona umesheheni wake za watu! Yaani mwanamke naye anasafiri kikazi lakini nyuma ya pazia anafanya mambo ya ziada pia.
 
Mkuu mwekundu swala la U & M lipo mahakamani, tumeonywa tusiliongelee!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake bana unaona jinsi wanavyokana..basi ujue umewshika pabaya!!
 

Mke wa mfalme hatakiwi kuhusishwa na mambo hayo!!!!
 
aisee haka ka utafiti kama vile kana ukweli ndani yake maana mimi nshababua wake za watu watatu na sababu ni hizo hizo alizozieleza mtoa uzi.

Na wa kwako kabanduliwa na wanaume wasiopungua 6!!! Mla vya wenzie na vyake vyaliwa!!!
 
Wanawake kutoka nje ya ndoa sio lazima awe kutoka makundi uliyoyataja hapo juu .Mimi nadhani Ndoa za Siku hizi zimeathirika kwa kuiga utamaduni wa nje na hali ya kipato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…