jupiter001
Member
- May 25, 2023
- 44
- 72
Watafika idadi ya waliohomia CCM mlipofinywa na mwendazake?Disclaimer: Hizi ni Tetesi
Kuna kundi la wana CCM wameshaanza kufanya mazungumzo na viongozi wa Upinzani ili kuhamia upinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Baadhi ya wana CCM hao ni James Lembeli ambaye amewahi kuhamia CHADEMA kabla ya kurudi CCM tena kipindi cha JPM.
Wana CCM wanaopanga kuhamia upinzani wengi wanahamia huko kusaka nafasi za kugombea hasa ubunge ,lakini most interesting ni kuwa Kuna potential presidential candidate ,sijui kama Lissu atapenda ujio wa Kigogo huyo
Wew bibi nimekumithWatafika idadi ya waliohomia CCM mlipofinywa na mwendazake?
Leo wako wapi? CDM ni imani na kila siku imani hukua! Samia mbele ya uchaguzi huru na haki hata asimamishwe na nyoka amini nyoka atashinda kabla ya saa mbili asubuhi.Watafika idadi ya waliohomia CCM mlipofinywa na mwendazake?
Chama cha siasa ni mali ya wote! Hata Samia akitaka kutakaswa chadema impokee!Chadema wasikubali kuchangamana na Madunduka yawazayo udalali.
Disclaimer: Hizi ni Tetesi
Kuna kundi la wana CCM wameshaanza kufanya mazungumzo na viongozi wa Upinzani ili kuhamia upinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Baadhi ya wana CCM hao ni James Lembeli ambaye amewahi kuhamia CHADEMA kabla ya kurudi CCM tena kipindi cha JPM.
Wana CCM wanaopanga kuhamia upinzani wengi wanahamia huko kusaka nafasi za kugombea hasa ubunge ,lakini most interesting ni kuwa Kuna potential presidential candidate ,sijui kama Lissu atapenda ujio wa Kigogo huyo
Hatoboi....umemskia juzi akilia lia kadi kurudishwaLeo wako wapi? CDM ni imani na kila siku imani hukua! Samia mbele ya uchaguzi huru na haki hata asimamishwe na nyoka amini nyoka atashinda kabla ya saa mbili asubuhi.
Lembeli ni muhuni fulani muvuta bangi pale kahama hana jipya kabisa. Sema mbunge aliyepo Ushetu baada ya kufariki Kwandikwa yaani ndiyo ovyo halina akili darasa la saba lijinga kabisa na tapeli halifai kabisa. Lembeli aendeleze mizimu tu hana jipya keshachoka. CCM 2025 inatafuta mbunge mwingine siyo huyu hohehahe aliyepo wala siyo lembeli lazima awe kijana msomi.Disclaimer: Hizi ni Tetesi
Kuna kundi la wana CCM wameshaanza kufanya mazungumzo na viongozi wa Upinzani ili kuhamia upinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Baadhi ya wana CCM hao ni James Lembeli ambaye amewahi kuhamia CHADEMA kabla ya kurudi CCM tena kipindi cha JPM.
Wana CCM wanaopanga kuhamia upinzani wengi wanahamia huko kusaka nafasi za kugombea hasa ubunge ,lakini most interesting ni kuwa Kuna potential presidential candidate ,sijui kama Lissu atapenda ujio wa Kigogo huyo
Watahama wengi sanaWatafika idadi ya waliohomia CCM mlipofinywa na mwendazake?
hawana watu waliowaandaaKitu kinacho nikera kwa Chadema kupokea wana ccm na kuwapa nafasi ya kugombania. Hii ni sawa na ccm A na ccm B.
Hizi ni "tetesi" au utabiri usiokuwa na miguu?Disclaimer: Hizi ni Tetesi
Kuna kundi la wana CCM wameshaanza kufanya mazungumzo na viongozi wa Upinzani ili kuhamia upinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Baadhi ya wana CCM hao ni James Lembeli ambaye amewahi kuhamia CHADEMA kabla ya kurudi CCM tena kipindi cha JPM.
Wana CCM wanaopanga kuhamia upinzani wengi wanahamia huko kusaka nafasi za kugombea hasa ubunge ,lakini most interesting ni kuwa Kuna potential presidential candidate ,sijui kama Lissu atapenda ujio wa Kigogo huyo
Lembeli alikua bora 2010 sasa hivi amepungua sana makaliLembeli ni muhuni fulani muvuta bangi pale kahama hana jipya kabisa. Sema mbunge aliyepo Ushetu baada ya kufariki Kwandikwa yaani ndiyo ovyo halina akili darasa la saba lijinga kabisa na tapeli halifai kabisa. Lembeli aendeleze mizimu tu hana jipya keshachoka. CCM 2025 inatafuta mbunge mwingine siyo huyu hohehahe aliyepo wala siyo lembeli lazima awe kijana msomi.