Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafuatana kwenye ubalozi wa Afrika Kusini mjini Dar
Nilijua tu hii isngekupita, Hii sio picha nzuri lakini people can think beyond here
Hii inadhihirisha mawakili 16 wa serikali ya CCM wamekwama huko SA ndiyomaana serikali hii zulumati imewatuma makapurwa wa Uvccm wafanye hili igizo la kipuuzi.Wafuatana kwenye ubalozi wa Afrika Kusini mjini Dar
Tena haya matembezi ya jazba(sio maandamano) ya hawa makapurwa wa UVCCM ndiyo itazidi kuizalilisha Tanzania kimataifa.Akili za Lumumba na kamati ya Ulinzi ya mkoa wa Dar es salaam akili zao wanazijua wenyewe Ila wanazidi kupaka matope sura ya nchi
Wafuatana kwenye ubalozi wa Afrika Kusini mjini Dar
!
!
Hawa Ni Vibaka Tu Wa Lumumba. Badala Ya Kulipa Hela Za Watu Wanajipanga Kufanya Maandamano Yasiyo Na Maana Yoyote.
Pale Hakuna Hata Mmoja Aliye wahi Kupanda Ndege Au Hata Kuisogekea Hatua Chache. Tunataka Ndege Yetuu Hahahahahaha
Nilijua tu hii isngekupita, Hii sio picha nzuri lakini people can think beyond here
HUNGER IN KENYA: Poor planning and inaction to blame for food insecurity
Kenya haijajipanga, njaa imekuwa tishio kwa nchi. Bei za vyakula zinazidi kupanda kila uchwao. Hakuna tumaini kwamba kuna siku zitashuka. Tatizo haliko kwenye majanga ya asili kama ukame, bali ni kuto jipanga. Kutumia ardhi kubwa kulima mazao ya kusafirisha nje ya nchi, ilhali, wananchi wakikosa...www.jamiiforums.com
Maigizo ya kijinga kabisa haya.Wanaonekana wameandaliwa hahahahaaa.
Ila kiongozi mkuu anachezeshwa akili na hutu tutoto,Yani anashindwa kujua kuwa haya ni maigizo ili huto tutoto tuendelee kumkomba fedha.
Kweli vi wonder
Tena haya matembezi ya jazba(sio maandamano) ya hawa makapurwa wa UVCCM ndiyo itazidi kuizalilisha Tanzania kimataifa.
Nilijua tu hii isngekupita, Hii sio picha nzuri lakini people can think beyond here
JamiiForums kwani hata uzi umetokea nchi jirani ya Kenya hauwezi kuungwa na zile zinazofanana na uzi huo husika?
Si nyie mnasema watu wawe na uhuru wa kuandamana ama!!???
😂😂 labda lugha gonganaHii inadhihirisha mawakili 16 wa serikali ya CCM wamekwama huko SA ndiyomaana serikali hii zulumati imewatuma makapurwa wa Uvccm wafanye hili igizo la kipuuzi.