Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
Hahahahhahahaha jeuri ya pesaOpenAI CEO Sam Altman responds to Elon Musk's nonprofit buyout offer: "no thank you but we will buy twitter for $9.74 billion if you want."
Kwa pesa gani aliyonayoHahahahhahahaha jeuri ya pesa
Hata Sijui Ndugu yanguKwa pesa gani aliyonayo
Ni bure duniani wao wanataka wauze hawapendi watu watumie vitu bure bure ndio lengo laoKumbe openAI imeishatekwa tayari na wasiopenda Uhuru wa Watu wengi Kupata taarifa,
Robot la NapeMaono ya Mo Gawdat hapo awali aliwahi kuwa afisa mkuu wa biashara wa Google X na kuona jinsi AI inavyo nyumbulika kuteka kila kitu :
View: https://m.youtube.com/watch?v=HhcNrnNJY54AI is here, and itβs evolving faster than we ever imagined. How do we adapt when the rules of the game are shifting under our feet? Is the future one of abundance, or are we heading toward disaster?π Are we missing the warning signs again? The
Utajifunza saa ngapi wakati kichwani umejaza takataka za wazayuni97b ni zaidi hata ya GDP ya Tanzania, duh hizi teknolojia tujifunze na sisi tupate ofa kama hiyo.
Open AI imejaa wazayuni watupu, na Sam Altman naye ni mzayuni pia, what do you think ππUtajifunza saa ngapi wakati kichwani umejaza takataka za wazayuni
Si kila myahudi ni mzayuni au anafagilia ugaidi wa Netanyahu.Open AI imejaa wazayuni watupu, na Sam Altman naye ni mzayuni pia, what do you think ππ
Tuanzie wapi kujifunza ndugu yangu?! sisi tunaloliweza ni ufisadi tu bila kuzijali taaluma za watu, tunge kianza kukinyayua kilimo kwanza.97b ni zaidi hata ya GDP ya Tanzania, duh hizi teknolojia tujifunze na sisi tupate ofa kama hiyo.