Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Pole. Wengi tumeumizwa. Lakini kwa tume hii ya uchaguzi na sheria zinazolinda uchaguzi huu, tutaendelea kuumia hadi basi.
 
Huu ndio muda ambao ccm watashangaa maana hawataamini kura watakazopewa na wananchi...wengi wana hasira kuanzia familia za waliotumbuliwa kwa uonevu
Ndugu yangu kwa tume hii (wote ni makada wa CCM) matumaini yako ni ndoto. Wapinzani watakaokubaliwa na tume kugombea , wakishinda hawatatangazwa na badala yake atatangazwa mugombea wa CCM aliyeshindwa. Hii inatokana na wawakilishi wa vyama katika chumba cha kuhesabu kura kunyimwa nakala ya matokeo.
 
Wewe kama bibi na babu yako wamelipwa haina tafsiri kwamba "wote" wamelipwa, hii habari ya watu kitokulipwa mafao yao ni dhahiri kabisa, nina mzee wangu alistaafu tangu August,2018 mpaka leo bado hajapewa haki yake!

Ukweli ni kwamba mzee Magu ana roho ya kikatili, achilia mbali wazee hao (ambao hawajalipwa), najaribu kumtazama namna anavyodhulumu haki za watumishi wa umma kwa sasa!

Kwa miaka 5 ameikanyaga sheria ya utumishi wa umma, kwani kutowaongezea basic salary maana yake hakuna nyongeza yoyote kwenye mchango wa mfuko wa hifadhi ya jamii (kwa miaka yote ya uongozi wake)

Wakati huo huo Kuna sheria ipo "pending" ya kulazimisha wastaafu kuchukua 25% ya mafao yao kwa kisingizio cha "kuwatunzia" wastaafu pesa zao wakati wao (viongozi Magu akiwemo) kwa miaka yote wamekuwa wakijikwapkulia pesa zao zote kila baada ya miaka mitano utadhani wao hawazeeki (high level of selfishness)

Huyu mzee ni katili mnoooooo!
Huyo mzee wako labda alikuwa hafanyi kazi serikali hakuna mstaafu wa serikali asiyepata pension yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Unless anamatatizo ya record zake za kuajialiwa.
 
Ndugu yangu kwa tume hii (wote ni makada wa CCM) matumaini yako ni ndoto. Wapinzani watakaokubaliwa na tume kugombea , wakishinda hawatatangazwa na badala yake atatangazwa mugombea wa CCM aliyeshindwa. Hii inatokana na wawakilishi wa vyama katika chumba cha kuhesabu kura kunyimwa nakala ya matokeo.
Umeshashindwa tayari kwa mawazo hayo!
 
Jazaneni upepoo... mkimaliza kakojoeni mlale. Kweli mtu na akili zake unakuja kutuambia eti group lako la WhatsApp linakupa taswira ya jinsi Tanzania nzima inavyomkubali Lissu? Hivi zinakutosha kweli?

Umeacha kazi ya Serikali umeenda kufanya biashara na mpaka leo unasurvive meaning mazingira ya biashara yaliyowekwa na Serikali ni mazuri inabidi ushukuru kwa hilo. Nilitegemea useme upo kijiweni huna kazi. Unalalamika umepata Div.1 halafu ukapelekwa kufundisha shule ya msingi, nani alikuambia watu failure ndo wanatakiwa kufundisha shule ya msingi? Yaani wewe ni bora ulivyoacha kufundisha, maana ungeharibu watoto wetu.


Makonda amekabidhi ofisi akilia una habari kweli wewe? Maana hata unavyoongea huna habari kama Makonda kakabidhi ofisi
 
Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Uandishi wako unakutambulisha kuwa wewe ni mmakonde wa kusini.
 
Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Haya hongereni. . . Oktoba sio mbali, tutakutana huko
 
Km maslahi yangu yako vema km napata stahili zangu km kawaida kwa nn niogope kuamishwa kituo cha kazi.. Mm naita kutoka sekondari kwenda msingi ni kuhama kito cha kazi ndani ya wizara ya elimu.
Pia nakumbuka zamani hata darasa la pili na la kwanza kulikuwa na walimu wana uzoefu mkubwa miaka 15 mpaka 30 kazini na mwalimu mkuu au mwalimu wa darasa la tano akiwa na miaka kati ya 3 na 7 kwenye utumishi.

Lisu kuchukua tiketi ya urais ni haki yake na ni wajibu kwa wanompenda kmpigia kura.
Watu tunasahau kuwa msingi kuna uhitaji wa umabiri katika ufaulu kuliko hata sekondari(yaani mtu anaweka kwenye nyumba paa la nondo wakati msingi wa mabua)

Wewe na mdogo wako mlikua shule moja au bahati nzuri tu imetokea kuwa mkapelekwa kufundisha msingi au woote ndo mnamchalenji hedimasta akaamua hivyo?. Grupu la wasapu lina watu mia tatu...hongera jinsi ulivyo makini...km mlikuwa mnaogopa mnadhani sasa kwa kuwa grupu la wasapu limebadilika ndio mnaaminiana?

Mpe pole mzee wetu inawezekana ni Hayo yamesababisha au wengi wanasahau pia mambo ya kifamilia huwaumiza wazee wetu bila wanafamilia kujua kwa kuwa siku zote wanabeba mengi ndani ya mwili na roho zao wakiwa na nia nzuri.

Karibu kwenye kujiajiri hakika umetumia elimu yako vema na hayo ndo maamuzi sahihi kwa msomi nakuombea uajiri na wengine.
Pia nimekumbuka pia mwajiri anakuwa na malengo yake na mwajiriwa pia anamalengo yake mwajiri anapokupeleka sehemu nyingine kuna mawili eidha ukajifunze au ukawafundishe wengine.
Usisahau kuwa tofauti ndogo ndogo ndio huleta tofauti kubwa mfano kati ya wasapu na telegramu.

Sasa we umeandika nn hiki jaman....... hata Kuwasilisha hoja unashindwa! Rudi darasani
 
Kwenye familia yetu, mheshimiwa Lissu anakura sita mpaka sasa. Yakwangu, baba, mama, mdogo wangu, kaka yangu na mke wangu.
Binafsi ni muhanga pia wa serikali hii, kwenye suala la urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu, hapo zamani tulikua tunalipa asilimia 8 kama marejesho lakini serikali hii ikabadili sheria kwa ubabe na kuanza kutukata asilimia 15.
Mzazi wangu mmoja pia ni muhanga, amestaafu lakini amekuja kupewa mafao madogo sana kutokana na sheria zao mbovu walizotuletea.
Nitaendelea kumtafutia Lissu kura zaidi kwa watu mbali mbali wanaonizunguka.
 
Sijaona connection ya lisu na hii stori yako .
 
Sijaona connection ya lisu na hii stori yako .
Hata ubongo wako hauna connection sababu ya stroke.

Stroke occurs when blood vessel that carries oxygen & nutrients to the brain is either blocked by a clot or bursts.
 
Hata ubongo wako hauna connection sababu ya stroke.

Stroke occurs when blood vessel that carries oxygen & nutrients to the brain is either blocked by a clot or bursts.
Ona jinge.r hili linalosema ni vumilivu la kisiasa.
 
Hata Mungu alimpa Musa amri kumi ili kuweka nidhamu na utii duniani na amri kumi zile ndiyo msingi wa sheria za leo.

Kungekuwa na Utawala wa katiba na sheria wastaafu wasingesumbuliwakupata mafao yao.
Nchi gani duniani uliyowahi kusikia iliendelea kwa sababu ya utawala bora na sheria? Taja moja tu!
 
Back
Top Bottom