City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 402
- 1,212
De agosto wa namungo ni sawa na zalan tu, in short simba hafiki popote basi tu wamepata zali kwa agostoMi natamani Uto wapangiwe De Agosto kwenye mtoano shirikisho
Ndio watajua kama hawajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
De agosto wa namungo ni sawa na zalan tu, in short simba hafiki popote basi tu wamepata zali kwa agostoMi natamani Uto wapangiwe De Agosto kwenye mtoano shirikisho
Ndio watajua kama hawajui
Nimekosa! nimekosa mimi! nihurumie mkubwa.Kuwa Yanga au Simba ndio kujitambua acha kuongea upuuzi kijana,kuna watu hawana timu ila wanapenda mpira nao hawajitambui.
Mamelod wapo pot ya piliKuwa na Mamelod na Waydad pamoja ni hatari mzee. Pale inatakuwa iwe kama misimu iliyopita. Kunakuwa na Simba na Giant mmoja, halafu ndio waje kina Al Hilal, Vipers, El Merrick. Hapa inakuwa easy sisi giants kupenya
Ukishasikia mtu anasema yeye sio yanga wala simba jua yeye yangaHilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.
Mzee 16 bora ipi tena?Hilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.
Mkuu hii ndo 16 Bora Wenda useme robo finally au 8 BoraHilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.
Hawawezi kukutana nadhani timu zote zilizoshindwa kufuzu champions league group stage zinakutana Na zile zilizofuzu confederation stage hiiMi natamani Uto wapangiwe De Agosto kwenye mtoano shirikisho
Ndio watajua kama hawajui
Naongezea... Nipo pale Makolo wakitoboa makundi hata nafasi ya pili mniite wuuu wuu wuunipo palee nasbr simba wakichukua Ccl mniite 🐕
dadadeki.[emoji123]Kama wataona haifai watupangie waarabu tupu tuwachezeshe saa 9 alasiri
wanaanza kujikataa wanaona aibu kujulikana.hakuna mwana azam Nchi hii, wewe ni uto jitambue wewe!
Wakereeee mwana lunyasi tupo pamoja tunagonga tuu LikesssHuwajui simba wewe
kwa kuanzia point 9 uhakika ni lazima kama kifo
kwanza unataka timu ngumu apangiwe nani ?
hii ni ligi ya mabingwa
HahahahahUkishasikia mtu anasema yeye sio yanga wala simba jua yeye yanga
Mimi bongo Sina team ujue Uto ilo
😁😁😁😁Naongezea... Nipo pale Makolo wakitoboa makundi hata nafasi ya pili mniite wuuu wuu wuu
Laiti ungekuwa unajua mpira kidogo tu ungekuwa unajua Vipers kwenye hilo kundi ana possibility ya kufuzu zaidi.Kama ni mtu wa mpira kweli kweli....nafsi yako inakwambia kimya kimya hilo kundi sio la kuomba.....unaelewa kabisa Wydad na Mamelodi ndio watakao songa mbele na wewe na Vipers mtarudi East Africa.