mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kila siku naandika humu usihangaike na mambo yaliyoko nje ya uwezo wako....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uking'ang'ania maana yake hujiheshimu wewe mwenyewe wala huyo unayemng'ang'ania.Kwaiyo wote wanongangania hawajiheshimu?
Puss ni puss tu dogo, ukiikosa hapa utaipata pale, hata hivyo puss za nyakati hizi ni rahisi sana kupata..usitumie nguvu nyingi kama hukubaliki.🤣Mkuu hao ni washamba wa puss tu ? Kuna wana wanajadili eti puss ni nini kaka mkubwa🤔🤔😅
Kung'ang'ania mtu asiekupenda ni aina fulani ya uchizi.Hivi kungangania mpenzi asiekupenda inamaanisha una mapenzi ya dhati Au hauna pa kwenda?
Binafsi hua sichukulii serious mambo ya mapenzi. Na siku zote nakua mguu ndani mguu nje. Nikiona tu DALILI za kwamba hapa sikubaliki, NALALA MBEREPuss ni puss tu dogo, ukiikosa hapa utaipata pale, hata hivyo puss za nyakati hizi ni rahisi sana kupata..usitumie nguvu nyingi kama hukubaliki.🤣
Kwaiyo ni mapenzi ya dhati?Kuna mashimo ukishaingia kwanza unadata kila ukiwaza ulvyokua unabanwa unaona ngoja ukomae anaweza badil maamuz
Ngoja nimwite shindikanaaPuss ni puss tu dogo, ukiikosa hapa utaipata pale, hata hivyo puss za nyakati hizi ni rahisi sana kupata..usitumie nguvu nyingi kama hukubaliki.🤣
Muhimu sana mkuu, hakuna sababu ya kuwa mtumwa wa mapenzi.Binafsi hua sichukulii serious mambo ya mapenzi. Na siku zote nakua mguu ndani mguu nje. Nikiona tu DALILI za kwamba hapa sikubaliki, NALALA MBERE
Hapo umekuwa mkorofi dogo🤣🤣🤣🤣Ngoja nimwite shindikanaa
Hapana kaka mkubwa unajua ni jinsi gani nakuheshimu wewe🙏Hapo umekuwa mkorofi dogo🤣🤣🤣🤣
Shimo ni shimo tu mkuu, mwanaume unaenda na akili+hisia, akili izidi hisia, ikiwa vice versa lazima uumie.Kuna mashimo ukishaingia kwanza unadata kila ukiwaza ulvyokua unabanwa unaona ngoja ukomae anaweza badil maamuz
Ujue vurugu zake siziwezi, halafu ni babe wangu wa mda wote🤣🤣Hapana kaka mkubwa unajua ni jinsi gani nakuheshimu wewe🙏
Ndio ujue sasa sisi wadogo zako wenye akili mingi haswa sisi wachaga tunajua kuwapiga kwenye mshono😅😅😅😅😅😅Ujue vurugu zake siziwezi, halafu ni babe wangu wa mda wote🤣🤣
Hakuna mapenzi ya dhati kuna upendo wa dhati tuHivi kungangania mpenzi asiekupenda inamaanisha una mapenzi ya dhati Au hauna pa kwenda?
Puss ni kile kinyama chenye mashavu 🤣huwa kikichonokolewa kinalia "pusi🤣pusi"Mkuu hao ni washamba wa puss tu ? Kuna wana wanajadili eti puss ni nini kaka mkubwa🤔🤔😅
Mimi sipo huko mkuu wewe utajua mwenyewe 😅Puss ni kile kinyama chenye mashavu 🤣huwa kikichonokolewa kinalia "pusi🤣pusi"
ndioKwaiyo wote wanongangania hawajiheshimu?
Abeeee shindikana!Ngoja nimwite shindikanaa