Quaresma Fai
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 590
- 630
Siyo kweli,Ndiyo, hiyo inaitwa "unrequited love"
Kuna upendo usioheshimu hisia za anaependwa?
Huu ni ukatili wa mapenzi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli,Ndiyo, hiyo inaitwa "unrequited love"
Kaka mkubwa katema nyongo😅Abeeee shindikana!
Kuna mashimo ukishaingia kwanza unadata kila ukiwaza ulvyokua unabanwa unaona ngoja ukomae anaweza badil maamuz
Mada ni Pana hii upendo ni nini mapenzi ni nini? MuramwaitoHakuna mapenzi ya dhati kuna upendo wa dhati tu
Mapenzi ni mapenzi hayana dimension yoyote, Ndio maana yakikosa Msingi wa UPENDO mwisho wake huwa mbaya Sana
Sure mkuu nilipata single maza huyo babu ka kunguni mzee 🤣haachiOgopa sana wanawake wenye 27+ wakikuganda
Hawana pa kwenda wanataka ndoa tu upendo hakuna
Hit her and run asikufanye her retirement plan
Learn or Perish
Sure mkuu nilipata single maza huyo babu ka kunguni mzee 🤣haachi
Mkuu, naomba usikilize wimbo Mapenzi kitu gani wa MBDogy Ft Chelea man. Kuna kitu utajivunza.Kuna mawili kama sio matatu
👉Huna mvuto kwa wengine Yani hakuna anaekukubali
👉Single maza
👉Huwezi kuzicontroll hisia
😂Wengine hawaachiki kirahisi kwa Haiba zao walizonazo.Kuna mawili kama sio matatu
👉Huna mvuto kwa wengine Yani hakuna anaekukubali
👉Single maza
👉Huwezi kuzicontroll hisia
Mm naona ni kutokujitambua tu na kujithamini. Ukijitambua ukajua thamani Yako ni ipi huwezi ng'ang'ania sehemu usipopendwa.Hivi kungangania mpenzi asiekupenda inamaanisha una mapenzi ya dhati Au hauna pa kwenda?
Umenitikisa mkuu! 😂Ogopa sana wanawake wenye 27+ wakikuganda
Kweli mkuu...na kwa nini uwe kinganganizi?
Ukishaona hukubaliki tafuta njia nyingine usepe tu! Hakuna kitu mbaya kama kubembeleza mtu.
Jibu jepesi ni hauna pa kwenda😁,,,huwezi kuwa na options tofauti halafu ukang'anganie mtu asiyekupenda.Hivi kungangania mpenzi asiekupenda inamaanisha una mapenzi ya dhati Au hauna pa kwenda?
😅😂😂😂Jibu jepesi ni hauna pa kwenda😁,,,huwezi kuwa na options tofauti halafu ukang'anganie mtu asiyekupenda.
Mada ni Pana hii upendo ni nini mapenzi ni nini? Muramwaito