bakari Nkya
Member
- Jul 25, 2017
- 5
- 1
Hiii kali walahi maana wapo pia hawo wamama wanao kwenda na hao wa baba coz gest hizo waendazo BBA lazma awe na mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunguni wanaletwa nyumbani na baba su mama anaekwendaga gesti za bei rahisi. Mfano zile gesti za Mbagala selfu elfu tano, kawaida elfu tatu. Hapo hukosi kuchukua mbegu za kunguni
Sent using Jamii Forums mobile app