Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Hii post yenyewe nimeiweka "kimalengo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii post yenyewe nimeiweka "kimalengo"
Mdau ingia YouTube uangalie na kusikiliza wimbo wa nyumbani ni nyumbani wa TMK wanaumeNaishi katika nchi ambayo adult mortality rate ni 3 out 1000 adults. Manake katika kila watu 1000 wanaokufa ni watatu. Kwa Tanzania, mortality rate ni 229 out of 1000. Manake katika kila watu 1000 - watu 229 wanakufa. Sasa mimi na wewe ni nani ambaye ana pointi za maana kuongea katika hili? Mimi nimepata exposure abroad ambayo wewe haujapata. Na nikijaribu kuwaelimisha mnaona utoto. Bakini hivyo hivyo tu sasa. Source ya hizo data ni UN statistics.
True
Haki ya mungu ataolewa soontweenty4seven mlizika lini na wapi?? Mama wini ndo kasHakuwa mjane muwahi jimbo
Kabisa. Biashara yake ya ukungwi, anajua bila mume hatatoboa. Japo Sijui kama ataolewa au yeye ndio ataoa.
Viagra ya nini wakati ana KUNGWI ambaye huwa anafundisha wake zetu jinsi ya kuwapet wanaume na MAUNO ya HARMONIZE
MAMA NI MPALESTINA HUYO SAFI ATAOA HIVI KARIBUNI TU ALA SAMAHANI ATAOLEWA !!!!
Ukweli mtupu bila chengaKWANI NDOA YAO ILIKUWA YA MFANO HAPANA JAMANI NI USANII TU! NA UKUNGWI NI BIASHARA TU YA KUPATA MTONYO! KUNGWI ALIMKALIA JAMAA KICHWANI SANA HAKUWA NA SAY..... NA JAMAA AKAWA KWENYE VEVE, NYAGI KWA SANA
KWANI NDOA YAO ILIKUWA YA MFANO HAPANA JAMANI NI USANII TU! NA UKUNGWI NI BIASHARA TU YA KUPATA MTONYO! KUNGWI ALIMKALIA JAMAA KICHWANI SANA HAKUWA NA SAY..... NA JAMAA AKAWA KWENYE VEVE, NYAGI KWA SANA
Msibani alikua mkavu hatari,mpka watu tukawa tunajiuliza kunani tena,nahisi harufu ya ugomvi mda si mrefu toka kwa familia ya mke
Msibani alikua mkavu hatari,mpka watu tukawa tunajiuliza kunani tena,nahisi harufu ya ugomvi mda si mrefu toka kwa familia ya mke
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unatupa mambo nusunusu jmani. Funguka basi tumjue vzuri huyo mama. Huwa namuonaga km mjanja janja fulani hv