Kungwi wa Arusha, Irene Mbowe afiwa na mumewe

Kungwi wa Arusha, Irene Mbowe afiwa na mumewe

Pole sana Dada Irene. Mungu akupeni faraja wewe na anafamilia wote. Pumzika kwa amani kaka yetu Seba.
 
Naishi katika nchi ambayo adult mortality rate ni 3 out 1000 adults. Manake katika kila watu 1000 wanaokufa ni watatu. Kwa Tanzania, mortality rate ni 229 out of 1000. Manake katika kila watu 1000 - watu 229 wanakufa. Sasa mimi na wewe ni nani ambaye ana pointi za maana kuongea katika hili? Mimi nimepata exposure abroad ambayo wewe haujapata. Na nikijaribu kuwaelimisha mnaona utoto. Bakini hivyo hivyo tu sasa. Source ya hizo data ni UN statistics.
Mdau ingia YouTube uangalie na kusikiliza wimbo wa nyumbani ni nyumbani wa TMK wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWANI NDOA YAO ILIKUWA YA MFANO HAPANA JAMANI NI USANII TU! NA UKUNGWI NI BIASHARA TU YA KUPATA MTONYO! KUNGWI ALIMKALIA JAMAA KICHWANI SANA HAKUWA NA SAY..... NA JAMAA AKAWA KWENYE VEVE, NYAGI KWA SANA

Kuna tofauti ndogo sana Kati ya kupenda na kukaliwa. Mara nyingi mapenzi ya dhati huchanganywa na kukaliwa
 
Nimeona "ICE KYUBU" anyway innallilah wainnallilah rajiuun
 
Back
Top Bottom