Kuning’iniza funguo za gari kiunoni kama tunguli ni ushamba uliopitiliza

Kuning’iniza funguo za gari kiunoni kama tunguli ni ushamba uliopitiliza

IMG_20230406_225129.jpg
 
I phone macho matatu na ufunguo wa gari havijawahi kutosha mfukoni. Ngoja waje wakuambie tafuta hela upunguze makasiriko
Nawewe nunua gari wacha makasiriko kwa wenye gari zao.

Kufatilia maisha ya watu na uhuru wao sio tu ni ushamba bali tabia za kimaskini.

Kila mtu ana uhuru wa ku handle funguo zake kadiri atakavyo bila kusababisha bugudha kwa wengine sasa wewe kinakuuma nn?

Siku ukinunua gari utaacha makasiriko.

Ndio maana waafrika wengi ni wachawi
 
Suruali ina mifuko, wekeni funguo mfukoni jamani. Unaponing’iniza kwa sababu ya kuionesha kwamba umekuja na gari nahisi ni ushamba fulani wa kiwango cha SGR.
Gari za ulaya
Mfano German cars funguo zake ni kumbwa na ‘ Knob ‘na zina sensor kwa ajili ya kufungua milango ya gari na madirisha
Ukiweka kwenye mfuko mfano ukakaa
Waweza shangaa umebana na kuwasha sensor umefungua milango au hata kushusha vioo
 
Back
Top Bottom