Kuning’iniza funguo za gari kiunoni kama tunguli ni ushamba uliopitiliza

Kuning’iniza funguo za gari kiunoni kama tunguli ni ushamba uliopitiliza

Gari za ulaya
Mfano German cars funguo zake ni kumbwa na ‘ Knob ‘na zina sensor kwa ajili ya kufungua milango ya gari na madirisha
Ukiweka kwenye mfuko mfano ukakaa
Waweza shangaa umebana na kuwasha sensor umefungua milango au hata kushusha vioo
Hamna hata haja ya kumuelewesha hyu dada anonekana too primitive
 
Kuchanganya funguo na simu mfukoni kunanitia hasara ya kununua screen protector ya simu mara kwa mara.Hivyo option cheap kwangu ni simu mfukoni,funguo mkononi.Hata hivyo uache makasiriko yasiyo na maana,funguo kashika mwingine,wewe unakereka,kwanini?Usiwapangie watu namna ya kuishi
 
Suruali ina mifuko, wekeni funguo mfukoni jamani. Unaponing’iniza kwa sababu ya kuionesha kwamba umekuja na gari nahisi ni ushamba fulani wa kiwango cha SGR.
Ni njia salama ya kutunza funguo na usalama wa gari. Unaweza tia funguo mfukoni then katika kukaa au kuweka mkono mfukoni ukabonyeza unlock. Ukajikuta umewarahisishia wahalifu.
 
Suruali ina mifuko, wekeni funguo mfukoni jamani. Unaponing’iniza kwa sababu ya kuionesha kwamba umekuja na gari nahisi ni ushamba fulani wa kiwango cha SGR.
Kifupi dume zima kuangalia hadi kwenye viuno vya wanaume wenzio kuona wanachoninginiza iwe funguo au chochote na kuangalia suruali zao kama zina mifuko au la ni tabia za kishoga

Acha hiyo tabia ukome kabisa.kuangalia viuno vya wanaume wenzio
 
Kuchanganya funguo na simu mfukoni kunanitia hasara ya kununua screen protector ya simu mara kwa mara.Hivyo option cheap kwangu ni simu mfukoni,funguo mkononi.Hata hivyo uache makasiriko yasiyo na maana,funguo kashika mwingine,wewe unakereka,kwanini?Usiwapangie watu namna ya kuishi
Ukisema huwezi changanya funguo na simu hoja yake itakuwa na nguvu kwa sababu suruali ina mifuko mingi (4) issue ni kwamba kila mtu afanye mambo yake ya msingi maana wewe unayefatilia maisha ya wengine ni wewe unayeumia zaidi maana hata anayefatiliwa wala hana habari ya kinachoendelea.
 
Wengine tuna ning'iniza funguo za milango ya ghetto.

Tukiweka mfukoni zinadondoka kwa hiyo usituponze tulale nje kwa ajili ya kukufurahisha wewe.
Hii ya kweli Kabisa. Gharama ya kupoteza funguo ni kubwa Zaidi ya kunig'iniza
 
Tunafanya hili tusipoteze

Mi nawekaga japo napenda kuininginiza kwa ndani..

Baadhi Wabongo wajinga wajinga wakiona una gari wanadhani una hela za kuchezea
 
Na wale wanao ning'iniza hivi pale juu ya gari tuwa weke kundi moja na hawa
214849535.jpg
 
Kuning'iniza ID ya NMB au ya CRDB na kitambulisho cha kazini mtaani ni uzwazwa wa kupitiliza na unastahili urudi tena darasani ukasome upya.
 
Suruali ina mifuko, wekeni funguo mfukoni jamani. Unaponing’iniza kwa sababu ya kuionesha kwamba umekuja na gari nahisi ni ushamba fulani wa kiwango cha SGR.

Mkuu mm naona kama ushamba iwe kwako, mtu kapewa gari na shemeji umpangie pakuweka funguo? Ndo ushamba zaidi
 
Back
Top Bottom