Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Umenusa kwapa lako? Mara nyingine mtu unafikiria harufu inatoka kwingine kumbe..?.. Inakuwa ile story ya "nyani haoni kundule".

Mkuu, ilo tatizo la mpenzi wangu na yeye mwenye analijua ilo..

Nimekuja humu JF kutafuta ushauri, wewe unaleta utoto
 
Mkuu, ilo tatizo la mpenzi wangu na yeye mwenye analijua ilo..

Nimekuja humu JF kutafuta ushauri, wewe unaleta utoto

Sio utoto kaka, ni ushauri pia. Sikujua kama yeye mwenyewe analijua tatizo lake.
Binafsi nilishawahi kuwa na mtu wa aina hiyo. Kitu cha kwanza nilichofanya ni kujicheki mwenyewe kwanza. Kisha nikaanza kumcheki na yeye.

1. Reason? Alikuwa hakogi sawasawa.
2. Solution? Nikajipa jukumu la kumkogesha ...
3. Results? Problem solved.
 

Niliwahi kuona mada east african tv kuwa anti perspirant deodorants zinasababisha breast cancer both to ladies and male wakaweka na scientific pics, binafsi situmii toka hyo cku.
 
Niliwahi kuona mada east african tv kuwa anti perspirant deodorants zinasababisha breast cancer both to ladies and male wakaweka na scientific pics,binafsi situmii toka hyo cku

Basi kwa magwiji wa sayansi za tiba hizo products zimejaa kibao kwenye maduka.

Ila hata dawa za mswaki nasikia zinasababisha saratani ya kinywa. Hata vilongalonga vinasababisha saratani ya ubongo. Hutumii vilongalonga wewe?

Oh na kompyuta nazo zinasababisha saratani pia. Unatumia kompyuta wewe? Kama unatumia acha mara moja. Sawa eeh?
 
Anyway, ngoja niweke vipande hapa kutoka National Cancer Institute ya Marekani kuhusiana na uhusiano wa anti perspirants na saratani za matiti.

Tuanze na hii kwanza:


Tuendelee:


Kwa habari zaidi tembelea hapa Antiperspirants/Deodorants and Breast Cancer - National Cancer Institute

Sasa mwenye kuamini anachotaka kuamini na aamini. Lakini habari ndo hiyo, kwamba hakuna CONCLUSIVE EVIDENCE ya uhusiano wa moja kwa moja baina ya vikata jasho na saratani za matiti. Ila sidhani kama baadhi ya watu humu wanaelewa maana ya CONCLUSIVE EVIDENCE. Hilo somo ni kwa siku ingine, labda.
 
Lakini siyo lazima kutumia vitu vilivyotengenezwa na chemical huwezijua ukweli, mbona ukitumi maji ya ukwaju au maji ya ugali yaliyo loekewa kwenye sufuria inakata kabisa ndani ya mwezi,jaribu kunawia kila siku ujionee
 
Nakushauri tafuta miti shamba inaweza kumsaidia!
 
Akaoge maji ya mchele sirious ni dawa ..aoge siku tatu asubuhi na jioni
 
Sikuja mjini na jembe, nikale polisi? Akili kumkichwa ukizubaa hapa Dar watakuuzia bahari!

Nina uhakika kuna moja ndiye unaemtegea, wakinadada siku zote wanaju nani watampa darasani, mtani, kazini, roommates, wanajua yupi ni sexy na ndiowanawategea.
Ila yako kali,inaonekana pesa ndiyo itayotembeza mkia.

I kinda liked it.
 
Usafi ni kila mtu unafanya,ila unaweza kuta kuna harufu fulani,yani kutema kwa lugha ya mtaani,je kutema huko ambapo kupo kwa wanaume na wanawake kunachangia kupunguza ladha ya penzi ama ali mradi ladha tamu zipo hakuna tabu jameni wanajf:scared:
 
Usafi ni kila mtu unafanya,ila unaweza kuta kuna harufu fulani,yani kutema kwa lugha ya mtaani,je kutema huko ambapo kupo kwa wanaume na wanawake kunachangia kupunguza ladha ya penzi ama ali mradi ladha tamu zipo hakuna tabu jameni wanajf:scared:

Not clear...fafanua...
 
Wakati mnapokua mnafanya mapenzi au mwenza wako mda wote anatoa harufu mbaya je inapunguza raha ama karaha
 
Inategemea. Kuna harufu zingine ni kama vikolezo vile. Yaani vinakoleza mizuka kichizi!
 
Sa unakuta hali hiyo ipo na haikwepeki je utamuacha au
 
Zipo harufu nzuri ila nataka kujua hizi mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…