Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Umenusa kwapa lako? Mara nyingine mtu unafikiria harufu inatoka kwingine kumbe..?.. Inakuwa ile story ya "nyani haoni kundule".

Mkuu, ilo tatizo la mpenzi wangu na yeye mwenye analijua ilo..

Nimekuja humu JF kutafuta ushauri, wewe unaleta utoto
 
Mkuu, ilo tatizo la mpenzi wangu na yeye mwenye analijua ilo..

Nimekuja humu JF kutafuta ushauri, wewe unaleta utoto

Sio utoto kaka, ni ushauri pia. Sikujua kama yeye mwenyewe analijua tatizo lake.
Binafsi nilishawahi kuwa na mtu wa aina hiyo. Kitu cha kwanza nilichofanya ni kujicheki mwenyewe kwanza. Kisha nikaanza kumcheki na yeye.

1. Reason? Alikuwa hakogi sawasawa.
2. Solution? Nikajipa jukumu la kumkogesha ...
3. Results? Problem solved.
 
Siyo tu atumie deodorant. Anachotakiwa kutumia ni 48 hr clinical strength ANTI-PERSPIRANT deodorant. Kuna tofauti baina ya deodorant na ANTI-PERSPIRANT deodorant.

Mtu mwenye tatizo kubwa la kikwapa deodorant pekee haitasadia kuondoa tatizo. Inapaswa atumie deodorant zinazokata utokwaji wa jasho kwenye kwapa na hizo ndiyo ANTI-PERSPIRANT deodorants.

Baadhi ya watu huwa hawajui hilo. Wakiona tu container lina neno deodorant basi anakimbilia kununua. Sasa deodorants zisizo na anti perspirant ingredients huwa haziko effective kwa watu wenye vikwapa vinavyotema na ndiyo maana utakuta watu wanalalamika kuwa wamejaribu kutumia deodorant lakini wapi.

Ni muhimu sana kusoma ni deodorant ya aina gani mtu unanunua. I always recommend ANTI-PERSPIRANT deodorants.

Niliwahi kuona mada east african tv kuwa anti perspirant deodorants zinasababisha breast cancer both to ladies and male wakaweka na scientific pics, binafsi situmii toka hyo cku.
 
Niliwahi kuona mada east african tv kuwa anti perspirant deodorants zinasababisha breast cancer both to ladies and male wakaweka na scientific pics,binafsi situmii toka hyo cku

Basi kwa magwiji wa sayansi za tiba hizo products zimejaa kibao kwenye maduka.

Ila hata dawa za mswaki nasikia zinasababisha saratani ya kinywa. Hata vilongalonga vinasababisha saratani ya ubongo. Hutumii vilongalonga wewe?

Oh na kompyuta nazo zinasababisha saratani pia. Unatumia kompyuta wewe? Kama unatumia acha mara moja. Sawa eeh?
 
Anyway, ngoja niweke vipande hapa kutoka National Cancer Institute ya Marekani kuhusiana na uhusiano wa anti perspirants na saratani za matiti.

Tuanze na hii kwanza:

[h=4]Key Points[/h]
  • There is no conclusive research linking the use of underarm antiperspirants or deodorants and the subsequent development of breast cancer.
  • Research studies of underarm antiperspirants or deodorants and breast cancer have been completed and provide conflicting results.

Tuendelee:

  1. Can antiperspirants or deodorants cause breast cancer? Articles in the press and on the Internet have warned that underarm antiperspirants (a preparation that reduces underarm sweat) or deodorants (a preparation that destroys or masks unpleasant odors) cause breast cancer (1). The reports have suggested that these products contain harmful substances, which can be absorbed through the skin or enter the body through nicks caused by shaving. Some scientists have also proposed that certain ingredients in underarm antiperspirants or deodorants may be related to breast cancer because they are applied frequently to an area next to the breast (2, 3).

    However, researchers at the National Cancer Institute (NCI), a part of the National Institutes of Health, are not aware of any conclusive evidence linking the use of underarm antiperspirants or deodorants and the subsequent development of breast cancer. The U.S. Food and Drug Administration (FDA), which regulates food, cosmetics, medicines, and medical devices, also does not have any evidence or research data that ingredients in underarm antiperspirants or deodorants cause cancer.

Kwa habari zaidi tembelea hapa Antiperspirants/Deodorants and Breast Cancer - National Cancer Institute

Sasa mwenye kuamini anachotaka kuamini na aamini. Lakini habari ndo hiyo, kwamba hakuna CONCLUSIVE EVIDENCE ya uhusiano wa moja kwa moja baina ya vikata jasho na saratani za matiti. Ila sidhani kama baadhi ya watu humu wanaelewa maana ya CONCLUSIVE EVIDENCE. Hilo somo ni kwa siku ingine, labda.
 
Lakini siyo lazima kutumia vitu vilivyotengenezwa na chemical huwezijua ukweli, mbona ukitumi maji ya ukwaju au maji ya ugali yaliyo loekewa kwenye sufuria inakata kabisa ndani ya mwezi,jaribu kunawia kila siku ujionee
 
Nakushauri tafuta miti shamba inaweza kumsaidia!
 
Akaoge maji ya mchele sirious ni dawa ..aoge siku tatu asubuhi na jioni
 
Sikuja mjini na jembe, nikale polisi? Akili kumkichwa ukizubaa hapa Dar watakuuzia bahari!

Nina uhakika kuna moja ndiye unaemtegea, wakinadada siku zote wanaju nani watampa darasani, mtani, kazini, roommates, wanajua yupi ni sexy na ndiowanawategea.
Ila yako kali,inaonekana pesa ndiyo itayotembeza mkia.

I kinda liked it.
 
Usafi ni kila mtu unafanya,ila unaweza kuta kuna harufu fulani,yani kutema kwa lugha ya mtaani,je kutema huko ambapo kupo kwa wanaume na wanawake kunachangia kupunguza ladha ya penzi ama ali mradi ladha tamu zipo hakuna tabu jameni wanajf:scared:
 
Usafi ni kila mtu unafanya,ila unaweza kuta kuna harufu fulani,yani kutema kwa lugha ya mtaani,je kutema huko ambapo kupo kwa wanaume na wanawake kunachangia kupunguza ladha ya penzi ama ali mradi ladha tamu zipo hakuna tabu jameni wanajf:scared:

Not clear...fafanua...
 
Wakati mnapokua mnafanya mapenzi au mwenza wako mda wote anatoa harufu mbaya je inapunguza raha ama karaha
 
Inategemea. Kuna harufu zingine ni kama vikolezo vile. Yaani vinakoleza mizuka kichizi!
 
Sa unakuta hali hiyo ipo na haikwepeki je utamuacha au
 
Zipo harufu nzuri ila nataka kujua hizi mbaya
 
Back
Top Bottom