Sibonike @ nipo silias nimetumia mpaka tube za kila aina yeye anadai kua kuna jamaa waliachana kipindi cha nyumba ndo kamfanyia hiv eti alimchezea hila mi siamin imani za kishirikinac
Nilipokuwa ktk kipind cha balehe cku moja nilipita karibu na mama mzazi,akaskia haruf kali san ya kikwapa chang,akaniambia nikaoshe kwap zang kwa maj ya mchele,likawa zoez kila jion navizia maj ya mchel,wk tu kwisha habar yak mpaka leo fureshhh
Hahaha! Pole sana!
Wenzio siku hizi wananyonya mpaka vitoa kinyes.i sembuse harufu ya kwapa!! Mapenzi uchafu mkubwa!
Mmmmh jamani! Mimi ninjonjeni tu lakini kumnjonya mtu!Aku nani anaetaka kula mavi na kuachiwa mashuzi?