Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hapana.
Hmmmmmmm.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.
Mimi nasema kinachonipa mzuka toka kwa wadada.
Sasa vipi, utaskip kuoga?
Hmmmmmmm.....
Unaguna nini?
Jamani, kweli ya dunia haya, pale kwenye tendo kuna wengine wanafukunyua mpaka unasema mtoto wa watu sijui kama atatoka mzima, wewe kikwapa tu,na hicho kinyeo pia kinalambwa kuna wanaume wana laana wakiwa kwenye game
Kikwapa....
Sijuhi nimefuata nini huku.
Hahaha!jamani, kweli ya dunia haya, pale kwenye tendo kuna wengine wanafukunyua mpaka unasema mtoto wa watu sijui kama atatoka mzima, wewe kikwapa tu,na hicho kinyeo pia kinalambwa,kuna wanaume wana laana wakiwa kwenye game
Nilijua tu...kama sio wewe basi Companero angetia timu.
Hebu nitafutie ile picha ya yule jamaa akikagua vikwapa
Nilijua tu...kama sio wewe basi Companero angetia timu.
Hebu nitafutie ile picha ya yule jamaa akikagua vikwapa
Kwikwikwi, haya mambo yenu vijana wa bongo fulava.
Du mmeirudisha tena hii mada yenu ya 'Nadharia ya Kikwapa'!
Ebana hebu niwekee ile picha bana, ile ya yule jamaa akivikagua vikwapa.
Ikoje hiyo picha nikutafutie?Ebana hebu niwekee ile picha bana....ile ya yule jamaa akivikagua vikwapa.
Ikoje hiyo picha nikutafutie?
Kuna watu wamepanga mstari halafu wamenyanyua mikono yao halafu kuna mtu anawanusa mmoja baada ya mwingine. Hata Michuzi aliwahigi kuibandika kwenye globu yake
Hii?
Kuna mtu kanisaidia.Teh teh teh. Wewe Mwali, mbona umeipata haraka hivyo?
Daaaah! Weee kiboko! Ndo yenyewe haswaa.