Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndiyo hapo mkuu, na hela ya balimi ipo kila siku lakini kwa daktari ni kituo cha polisi.Uchafu, kama ni fungus nao alipata sababu ya uchafu au uzembe na unatibika kwanini asipate dawa.
Baadhi ya Wanaume akili zao sa ingine wanazijua wenyewe[emoji1] [emoji1]Na nini kinasababisha uvae viatu vibichi, cha ajabu ni kuwa anavaa viatu vibichi ili akawahi balimi.
Swali ni gumu sana hili kujibiwa, sana watu wakiuliza kwanini wanawake wengine hata waoge namna gani na vipodozi sehemu nyeti iliyomtoa Adam bustanini inanuka chumba kizima. Sidhani kama utaweza kujibu.Limekupata nini mkuu, lilikuwa jiwe tu halina mlengwa?
Hawafanyi usafi inavyostahili.Swali ni gumu sana hili kujibiwa, sana watu wakiuliza kwanini wanawake wengine hata waoge namna gani na vipodozi sehemu nyeti iliyomtoa Adam bustanini inanuka chumba kizima. Sidhani kama utaweza kujibu.
Makaka ndo manini??Jamani makaka,
Unamkuta mkaka handsome, subiri muingie mahali muambiwe kuvua viatu, kwanza anajikanyaga kumbe socks zimetoboka, haya utamuonea huruma, sasa huo uvundo unaotoka miguuni, unaweza kumkana kuwa humfahamu. Kama umemkaribisha nyumbani kwako, ndioy inabidi ufungue madirisha ukidai ni joto, hata kama inabidi utupie kisweater na kibaridi hiki cha June. Makaka ni nini hiki?
Hahaaaa! Ila sometimes inategemea na aina/material ya viatu pia.Jamani makaka,
Unamkuta mkaka handsome, subiri muingie mahali muambiwe kuvua viatu, kwanza anajikanyaga kumbe socks zimetoboka, haya utamuonea huruma, sasa huo uvundo unaotoka miguuni, unaweza kumkana kuwa humfahamu. Kama umemkaribisha nyumbani kwako, ndioy inabidi ufungue madirisha ukidai ni joto, hata kama inabidi utupie kisweater na kibaridi hiki cha June. Makaka ni nini hiki?
Hebu chukua soda moja tafadhali...Hahahahh napingana na wewe kwa sababu sinukagi na haitatokea hata siku moja Mkuu.
Usafi ni kitu cha msingi sana katika maisha yangu.
mmmnh SKY,watu wote wanaozungumzia gender nyingine,huwa wako tayari kuwa attacked,...................isije ukawa uko resentful na wakaka wa JF,..............i suggest uchukue time off/JF holiday,hamna kupost for a while,mpaka upone,and yes time heals everything......kama hii hai apply kwako,ipotezee