Kunuka miguu: Chanzo na tiba

Viatu vyangu vyote karibu bado vina harufu ya upya.

Nikianza mzunguko January sikirudii mpaka January inayofuata.

Na soksi mpya za kishua zinafunguliwa kutoka maboksi karibu kila mwezi.
 
afu hata wewe ushawahi kuniattack.😵😵

I never do that to women, never on earth.

You are my grandma, mom, sisy, wife or daughter.

Kama ukiipata coment yoyote ambayo nimemu abuse mwanamke nakupa $100.
 
We mwanamke umet.... na wangapi maana kila siku story za wanaume na tabia tofauti
 
afu hata wewe ushawahi kuniattack.😵😵
Attacking ziko namna nyingi we unasema ipi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
I never do that to women, never on earth.

You are my grandma, mom, sisy, wife or daughter.

Kama ukiipata coment yoyote ambayo nimemu abuse mwanamke nakupa $100.

nimekupenda bure,

ni kweli kuna mtu anaeanzia na jina lako,alinishushuaaaaa huyo,😀

naona sio wewe,nisamehe bure,lol
 
nimekupenda bure,

ni kweli kuna mtu anaeanzia na jina lako,alinishushuaaaaa huyo,😀

naona sio wewe,nisamehe bure,lol

Nikiwa darasa la tano baba aliniambia "Women are our babies, never on earth attack them with negative comments, they are babies".

Toka hapo sijawahi kugombana na mwanamke, wala kumkashifu, jaribu kupitia profile yangu humu JF, hutaona hata mara moja nimefanya hiki kitu.

You are my baby, can't do that to you.
 
sawa bana ngoja nisubirie mgao huu sijui ndo kusubiria meli airport
BARRICK WAMESEMA WATATULIPA KIASI CHOTE WALICHOTUIBIA KWENYE MIGODI KIASI CHA Tsh Trillion 108.

Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.

Hapo kila Mtanzania atapata Million 2..
Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anikopeshe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hutakaa uzione popote.
Amen.Pesa ni habari nyingine jamani
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umenichekesha sana Numbisa ubarikiwe.
 
Uyu atakuwa anaangukia pabaya kila akibet Mara vibamia,,Mara kafananishwa... Mara rohoo ya kimaskini yaani sky full kulalamaa njoo kwngu utokuja jutia kuuchana mkeka
 
Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anikopeshe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Amen.Pesa ni habari nyingine jamani

Yaani leo sijacheka kama nilivyocheka kwa kuiona hii comment, eti akukopeshe kwa dhamana ya Barick.

Ngoja nicheki na Daby au Bonny, maana Asprin atakwambia ule kiti moto ya hiyo thamani badala ya kukupa hela.
 

Si soksi
 
Usivae socks za mtumba. Ushauri wa bure.
Soksi za Pamba she 500/ jozi/pair.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…