Kunuka miguu: Chanzo na tiba

Kunuka miguu: Chanzo na tiba

Huwa sina tatizo kwenye kulipa deni,benk yangu ipo huku tutaenda wote ntakulipa cash
19122509_785115528316530_3535650638941650944_n.jpg

Naogopa kuja kumdai Numbisa mkuu vingnevyo kama Raimundo utamlipia sawa
 
Aah nipo fasta kweli kwenye ulipaji,tutaenda na kurudi haraka kabla ya kukurupushwa na wazee wa kazi. Just imagine hapo tupo bank
19120735_299199027157555_8647672657698881536_n.jpg

Ha ha ha huko hapana nmeshindwa mie kukkopesha ntaishia kurud bila nguo na nkalipa zaid ya Den nililokukopesha
 
kwanini usivumilie kwai hivo viatu tunavua muda wote, si kipindi kifupi tu.
 
Kweli wadada hamna huruma yaani uingie na mkaka wawatu mahali uje umseme! Haya endelea maana story bado hii haya alivua nanini tena kingine tofauti na viatu
 
Jamani makaka,

Unamkuta mkaka handsome, subiri muingie mahali muambiwe kuvua viatu, kwanza anajikanyaga kumbe socks zimetoboka, haya utamuonea huruma, sasa huo uvundo unaotoka miguuni, unaweza kumkana kuwa humfahamu. Kama umemkaribisha nyumbani kwako, ndioy inabidi ufungue madirisha ukidai ni joto, hata kama inabidi utupie kisweater na kibaridi hiki cha June. Wakinakaka ni nini hiki?
Kwanza umeingia nawangapi maana kama wanafika mia itakua ni asilimia 100 ya wanaume sasa
 
Kwanza umeingia nawangapi maana kama wanafika mia itakua ni asilimia 100 ya wanaume sasa
Hao ni wanaume ninaokutana nao si lazima kuwa walikuwa wapenzi wangu lakini mnakubali kuwa mna tatizo la kuvaa socks zilizotoboka?
 
Hao ni wanaume ninaokutana nao si lazima kuwa walikuwa wapenzi wangu lakini mnakubali kuwa mna tatizo la kuvaa socks zilizotoboka?
Watu wako tofauti sana jamii kwa jamii maana wapo wanaume wana sokisi pea moja tu sasa unakuta zimetoboka anavaatu ila sidhani kua ndo hivyo mpaka mumeo? Nakama mumeo anazo siumnunulie ili kupunguza hilo wimbi la sokis mbovu mkuu
 
Back
Top Bottom