Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
SalonSaloon ile ya kunyoa buku buku haina kitu labda Barber shop, boda boda ukipata mtu mwaminifu inalipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SalonSaloon ile ya kunyoa buku buku haina kitu labda Barber shop, boda boda ukipata mtu mwaminifu inalipa
Hiyo hela kanywe tu bia, kiliko kufungua biashara umpe mtuVyote nawapa mtu mku
Hiyo hela kanywe tu bia, kuliko kufungua biashara umuVyote nawapa mtu mku
Kila la kheri kwake
Ndo maana nimekuja huku nipate maarifa mkuuLocation nzuri inaweza ikawa sehemu yeyote ile.
Nimesoma jinsi unavyojibu koment za watu nimekuelewa kama mtu ambaye hayupo kibiashara .
Mfano hili swali ulilouliza nililoliquot.
Nakushauri hivi hiyo hela nenda kanunue vipande vya utt uendelee kujipanga kukuza mtaji pia nakushahuri jiongeze kujioatia elimu ya biashar kidogo itakupa mwanga .
Manake jinsi nilivyokusoma inaonekana huelewi hata biashara ni nini halafu unataka uanzishe biashara
Mitumba kwa vip?Unaweza pata watu kumi 10 wakunyoa kila siku???
Unaweza paki wala watu kumi 10 kila siku wale wa nauli buku??
Bora goli la mtumba coz ni km udalali, ramba umenunua elfu kumi unaweza dalalia mpuzi 25, 000
We uko wapi?Siufahamu huo mji.
Aisee, kama ipi mkuuWaza wazo jipya bro hilo la Bodaboda kumpa mtu pikipiki yako ndo usiliwaze kabisa ni hasara utapoteza hela yako kunufaisha watu baki
DuhWe nunua boda boda utayapata majibu
Maeneo yenye watu wengi ambao ndo wateja wako.Location nzuri inaweza ikawa maeneo gani hasa