ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Mwenye gari na wenye magari, ila mleta uzi ametaka tuu kujua gharama atakazo chajiwa na TRA zina weza kuwa kiasi gani? hayo mengine kwamba x-trail ipo hivi mara vile itakuwa mwenyewe alishafanya utafiti na ndio maana anataka kununua.