Kununua malaya kulitaka kunitoa roho DR Congo

Kununua malaya kulitaka kunitoa roho DR Congo

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Aloo mademu wa congo DRC wanajua kukatikia bwana ila ni wachawi balaa hivi unapajua Kasumbalesa ?

Wewe mwezi wa kwanza mwaka huu nilipita hapo ila yaliyonikuta sisahau hadi naingia kaburini. Nilikutana na demu mzuri Mwasi kitoko kama malaika kumbe ni mchawi na tapeli.

Baada ya maelewano ya kumla tunda kimasihara nikachukua geto nikamlipa pesa tukalala fresh nikala tunda ila naamka asubuhi nakuta madola yangu kwenye pochi hayapo, nililia kama mtoto baada ya kwenda kumtafuta nilimpata lakini alinikataa na alipiga kelele kuwa namuibia mimi ni mwizi. Bahati nzuri nilikimbilia kwenye nyumba ya mama mmoja hivi ndo nilipona la sivyo ningefia Kasumbalesa

Baadae polisi walikuja na kunibeba ila nilikuja kutolewa baada ya bosi zangu kusikia nipo polisi. Ilikuwa mwaka 2023 hiyo Bolingo esalaka pasi.
 
Ndo madhara ya kutohudhuria vikao vya wanaume, malaya hulali nae mpaka asubuhi unamgonga unamlipa anasepa au kama umemfata kwa danguro unaenda na chenji kamili na hubebi chochote cha thamani maana umala na wizi ni mapacha. Tunza afya yako na kibunda chako
 
Yaani malaya wa Ugenini unalala naye na usingizi ukakutoka?

Marinda yalipona? Katoe sadaka.
Mkuu demu alikuwa anakiuno kilaini nilipiga hadi nikalala nachapa hadi mtoto anasononeka kilingala nikalala hadi asubuhi kumbe usiku alifanya uhuni kaniibia simu,laptop na faranga,pete zangu za silva zote zikaenda
 
Umenikumbusha mbali mkuu, Kuna manzi nilomchukua one night(hatukuelewana Bei). Nilikuwa na pesa ya watu 25M kwenye begi.

Kumbe usiku nilivyolala alinikagua akaziona zile pesa Ila hakutoa hata mia. Asubuhi nikampa 50k akasema nimuongeze hela nikaanza kulialia njaa kwamba Sina kitu.

Akacheka Sana akaniambia "mkiibiwa mnaanza kulialia, kwenye begi umejaza mihela na usiku umelala Kama umekufa nimekagua mpaka na nguo nimetoa zote nje then nikarudishia. Ningeamua kuondoka si ningeenda kufungua hata biashara huko mbele kwa mbele".

Asee nilitoa jasho Kama nusu ndoo nadhani, ilibidi nimpe 300k Kama zawadi nje ya ile 50k.
 
Umenikumbusha mbali mkuu, Kuna manzi nilomchukua one night(hatukuelewana Bei). Nilikuwa na pesa ya watu 25M kwenye begi. Kumbe usiku nilivyolala alinikagua akaziona zile pesa Ila hakutoa hata mia...
Duh pole sana kaka mie nililia kama mtoto yaani Kasumbalesa hapafai kule unaweza ukakutana na demu mzuri sana kumbe usiku anapaaa ni mwanga kabisa
 
Back
Top Bottom