Kununua Malaya ni sawa na fisi kula mizoga au simba aliyezeeka kula Vibudu

Kununua Malaya ni sawa na fisi kula mizoga au simba aliyezeeka kula Vibudu

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
KUNUNUA MALAYA NI SAWA NA FISI KULA MIZOGA AU SIMBA ALÍYEZEEKA KULA VIBUDU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Sio kila kiumbe kinapenda hekaheka, kutoana jasho, vipo viumbe hula mizoga kwa sababu kula mizoga haihitaji nguvu ñyingi wala jitihada kubwa.

Mzoga unapatikana kirahisi.

Fisi hupendelea kula mizoga au tuviite vibudu Labda sio kwa kupenda bali kutokana na maumbile yake yasiyo rafiki katika kuwinda wanyama. Sanasana fisi huvizia vitóto vya wanyama wengine au kuvizia wanyama wazee na wanaoumwa.

Kama sivyo basi kunyang'anya mawindo ya wanyama wengine.

Kununua MALAYA tena wale wa kujipanga tena kwa kujua ni hatua ya juu kabisa ya mwanaume kufilisika na yupo katika hali ya kufedheheka.

Niliwahi kusema hakunaga malaya mzuri kama vile ilivyo hakunaga mzoga mtamu.

Shida zinaweza kukufanya ukaona kíbudu ni kitamu lakini kiuhalisia sio.

Mwanaume mzee ni kama simba mzee ambaye kasi ya mawindo hupungua. Huyo haishangazi kukuta akila vibudu na kununua makahaba.

Lakini sio kwa kijana mdogo kati ya miaka 20- 45.

Ikiwa mkeo anakuñyima tendo kununua mizoga sio suluhu. Kwa mwanaume kweli ananjia mbili ya kutatua kesi kama hiyo.
Njia ya kwanza ni Kumpa talaka huyo mwanamke. Kama hiyo utaona inakuwa ngumu basi njia ya pili inakuhusu. Kuoa Mke wa pili au wa tatu kabisa.

Hakunaga Mwanamke anayeweza kumnyima chakula cha usiku mwanaume anayejitambua. Kwa sababu wanawake hujua nini kitatokea.

Acha nipumzike sasa.

Robért Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Kama Yuda kwenye kitabu cha Mwanzo 38: 1-25, alinunua Malaya. Je mimi ni nani hata nisipite Kimboka na afu tatu yangu kupunguza uzito😇

Nafikiri umezingatia na umri wa Yuda mwenyewe
Hushangai aliuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Naunga mkono hoja, kununua malaya ni heri upige nyeto usubiri kesho
 
Kununua malaya ni kuwa na aware kuwa umeji commit kufanya ngono na muuza nyapu anayegongwa na wanaume wengi na kuamua ku take caution za kiusalama au u take risk kwa kumgonga bila kinga.

Demu huyo huyo aliyekuwa malaya kwasababu umemkuta viwanja vya kibiashara, akiwa kitaani ni demu wa mtu ambaye jamaa ana amini demu ni wife material na mchizi anaamini anakula peke yake.

Confidence inayomfanya mchizi asiwe na wasiwasi hata kumlala bila kinga na ndio hapo anajikuta anapata magonjwa ambayo hakutarajia.
 
Kwa nn mnatupangia mkishiba urojo?

Ina mana mm kujitupiamo kimono kwa dem barabaran na kumuachia hela ya maji inakuuma? Kijana una mattizo gan umerogwa?
 
Kikubwa ni location, kuna wale wanaojiuza waziwazi na kuna wale wa chini chini,,,,kuna hadi wake za watu ukiweka dau tu umewavua chupi
 
Ni heri nikapiga mkono, hata simba akizidiwa hula nyasi ila sio kununua mtu analiwa na wanaume 2-10per day..

Kuna jamaa hata hawajali, huko fb nk wana-request tu.
 
Wapo makahaba ambào single Mothers
Hiyó kuwasaidia hauwezi kuwa utetezi wa kutumainiwa
tutaenda nawo hivyo hivyo kwani kwa kibongobongo kwa sasa katika wanawake kumi nane ni single mother na hii inatokea unakuta mwanamke yupo katika ndoa ila waliomzunguka wengi wao tayari ni maa siingle mother wengine ni ndugu zake wengine marafiki wanamjaza upepo kuwa hayupo huru naye analianzisha mpaka anakwenda kudai talaka ili tu naye awe huru!
 
Back
Top Bottom