Kununua Malaya ni sawa na fisi kula mizoga au simba aliyezeeka kula Vibudu

Kununua Malaya ni sawa na fisi kula mizoga au simba aliyezeeka kula Vibudu

KUNUNUA MALAYA NI SAWA NA FISI KULA MIZOGA AU SIMBA ALÍYEZEEKA KULA VIBUDU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Sio kila kiumbe kinapenda hekaheka, kutoana jasho, vipo viumbe hula mizoga kwa sababu kula mizoga haihitaji nguvu ñyingi wala jitihada kubwa.

Mzoga unapatikana kirahisi.

Fisi hupendelea kula mizoga au tuviite vibudu Labda sio kwa kupenda bali kutokana na maumbile yake yasiyo rafiki katika kuwinda wanyama. Sanasana fisi huvizia vitóto vya wanyama wengine au kuvizia wanyama wazee na wanaoumwa.

Kama sivyo basi kunyang'anya mawindo ya wanyama wengine.

Kununua MALAYA tena wale wa kujipanga tena kwa kujua ni hatua ya juu kabisa ya mwanaume kufilisika na yupo katika hali ya kufedheheka.

Niliwahi kusema hakunaga malaya mzuri kama vile ilivyo hakunaga mzoga mtamu.

Shida zinaweza kukufanya ukaona kíbudu ni kitamu lakini kiuhalisia sio.

Mwanaume mzee ni kama simba mzee ambaye kasi ya mawindo hupungua. Huyo haishangazi kukuta akila vibudu na kununua makahaba.

Lakini sio kwa kijana mdogo kati ya miaka 20- 45.

Ikiwa mkeo anakuñyima tendo kununua mizoga sio suluhu. Kwa mwanaume kweli ananjia mbili ya kutatua kesi kama hiyo.
Njia ya kwanza ni Kumpa talaka huyo mwanamke. Kama hiyo utaona inakuwa ngumu basi njia ya pili inakuhusu. Kuoa Mke wa pili au wa tatu kabisa.

Hakunaga Mwanamke anayeweza kumnyima chakula cha usiku mwanaume anayejitambua. Kwa sababu wanawake hujua nini kitatokea.

Acha nipumzike sasa.

Robért Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
chai
 
Bro! Naogopa kuandika hapa mtasema nawatukana wanawake! Mtasema sina adabu, mtaniuliza mimi nilipasuka kwenye jiwe!? Lakini ukweli ni kwamba kwa dunia ya sasa wanawake wote wako kibiashara! Hata hawa tuliowaoa! Ukichimba ndani sana utagundua kilichomuweka ndoani ni kipi!
 
Kununua malaya ni kuwa na aware kuwa umeji commit kufanya ngono na muuza nyapu anayegongwa na wanaume wengi na kuamua ku take caution za kiusalama au u take risk kwa kumgonga bila kinga.

Demu huyo huyo aliyekuwa malaya kwasababu umemkuta viwanja vya kibiashara, akiwa kitaani ni demu wa mtu ambaye jamaa ana amini demu ni wife material na mchizi anaamini anakula peke yake.

Confidence inayomfanya mchizi asiwe na wasiwasi hata kumlala bila kinga na ndio hapo anajikuta anapata magonjwa ambayo hakutarajia.
Kuna msemo, ''Kila mwanamke anajiuza, utofauti ni kwenye bei na namna ya kujiuza''. Huenda huu msemo ni wa kweli.

Na kama huu msemo ni wa kweli, andiko la Mtibeli linakosa mantiki.
 
KUNUNUA MALAYA NI SAWA NA FISI KULA MIZOGA AU SIMBA ALÍYEZEEKA KULA VIBUDU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Sio kila kiumbe kinapenda hekaheka, kutoana jasho, vipo viumbe hula mizoga kwa sababu kula mizoga haihitaji nguvu ñyingi wala jitihada kubwa.

Mzoga unapatikana kirahisi.

Fisi hupendelea kula mizoga au tuviite vibudu Labda sio kwa kupenda bali kutokana na maumbile yake yasiyo rafiki katika kuwinda wanyama. Sanasana fisi huvizia vitóto vya wanyama wengine au kuvizia wanyama wazee na wanaoumwa.

Kama sivyo basi kunyang'anya mawindo ya wanyama wengine.

Kununua MALAYA tena wale wa kujipanga tena kwa kujua ni hatua ya juu kabisa ya mwanaume kufilisika na yupo katika hali ya kufedheheka.

Niliwahi kusema hakunaga malaya mzuri kama vile ilivyo hakunaga mzoga mtamu.

Shida zinaweza kukufanya ukaona kíbudu ni kitamu lakini kiuhalisia sio.

Mwanaume mzee ni kama simba mzee ambaye kasi ya mawindo hupungua. Huyo haishangazi kukuta akila vibudu na kununua makahaba.

Lakini sio kwa kijana mdogo kati ya miaka 20- 45.

Ikiwa mkeo anakuñyima tendo kununua mizoga sio suluhu. Kwa mwanaume kweli ananjia mbili ya kutatua kesi kama hiyo.
Njia ya kwanza ni Kumpa talaka huyo mwanamke. Kama hiyo utaona inakuwa ngumu basi njia ya pili inakuhusu. Kuoa Mke wa pili au wa tatu kabisa.

Hakunaga Mwanamke anayeweza kumnyima chakula cha usiku mwanaume anayejitambua. Kwa sababu wanawake hujua nini kitatokea.

Acha nipumzike sasa.

Robért Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kipi bora kati ya kuoa Malaya ukamuweka ndani au kumnunua na kuachana naye juu kwa juu?
 
KUNUNUA MALAYA NI SAWA NA FISI KULA MIZOGA AU SIMBA ALÍYEZEEKA KULA VIBUDU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Sio kila kiumbe kinapenda hekaheka, kutoana jasho, vipo viumbe hula mizoga kwa sababu kula mizoga haihitaji nguvu ñyingi wala jitihada kubwa.

Mzoga unapatikana kirahisi.

Fisi hupendelea kula mizoga au tuviite vibudu Labda sio kwa kupenda bali kutokana na maumbile yake yasiyo rafiki katika kuwinda wanyama. Sanasana fisi huvizia vitóto vya wanyama wengine au kuvizia wanyama wazee na wanaoumwa.

Kama sivyo basi kunyang'anya mawindo ya wanyama wengine.

Kununua MALAYA tena wale wa kujipanga tena kwa kujua ni hatua ya juu kabisa ya mwanaume kufilisika na yupo katika hali ya kufedheheka.

Niliwahi kusema hakunaga malaya mzuri kama vile ilivyo hakunaga mzoga mtamu.

Shida zinaweza kukufanya ukaona kíbudu ni kitamu lakini kiuhalisia sio.

Mwanaume mzee ni kama simba mzee ambaye kasi ya mawindo hupungua. Huyo haishangazi kukuta akila vibudu na kununua makahaba.

Lakini sio kwa kijana mdogo kati ya miaka 20- 45.

Ikiwa mkeo anakuñyima tendo kununua mizoga sio suluhu. Kwa mwanaume kweli ananjia mbili ya kutatua kesi kama hiyo.
Njia ya kwanza ni Kumpa talaka huyo mwanamke. Kama hiyo utaona inakuwa ngumu basi njia ya pili inakuhusu. Kuoa Mke wa pili au wa tatu kabisa.

Hakunaga Mwanamke anayeweza kumnyima chakula cha usiku mwanaume anayejitambua. Kwa sababu wanawake hujua nini kitatokea.

Acha nipumzike sasa.

Robért Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Pumbavu
 
Back
Top Bottom