Kununua ngono vs kumiliki mchepuko

Kununua ngono vs kumiliki mchepuko

morisiachuma

Member
Joined
May 9, 2020
Posts
8
Reaction score
23
Habari ndugu zangu leo naomba nifahamu kulingana na hali ya hewa hasa uhaminifu katika ndoa umepungua siku hizi.

Sasa kivi ni salama kiuchumi na kiafya kwa mwanaume kati ya kununua ngono yaani ukiwa na hamu unamtafuta mdada mkali unamlipa ambapo bei zao ni kati ya elfu 5 hadi 20 baada ya hapo mnaachana kila mtu na maisha yake na ukitaka huduma tena unaanza upya.

Kwa upande wa mchepuko kwanza ukimtongoza tu anataka kodi ya nyumba, saruni, matatizo ya familia yake, chakula, matunzo nk.
Nawasilisha.
 
Aise nilipigaga mahesabu nikaona finacial wise ni bora usiwe na mchepuko ukamatie dada poa maana hawa michepuko unatoa hela nyingi sana.

Pili jambo nililo tambua michepuko nao full stress tuu. Alafu ujue taste inabadilika na siku mara nyingine unataka mwenye msambwanda mara ngine wataka mwsnye upaja au nyoyo basi kwa sababu hiyo nibora usiwe na mchepuko maana utakuwa nao kumi na gharama ndio zinazidi.
 
Kila kimoja kina umuhimu wake. Kama huna hela ya uhakika unaweza kuwa unakula machangu wanaojiuza ila kama huko fresh michepuko ina raha yake. Uzuri wa michepuko ni kwamba mnaweza mkasaidiana mawazo hata kukuliwaza kwa ushauri au kukudekeza na pia mnaweza ukaboreka mkaongea au mkachati. Mapenzi sio kuchovya tu kuna mengi ndani yake kama kuongea kuzinguana kudekeana mambo ambayo hupati kwa wa kununua

Wakununua wana faida zake maana mnamalizana unasepa. Hiyo ni nzuri kama umeenda sehemu ya mbali ukashikwa na hitaji la ngono na pia hawa hawana mizinga sijui baby kuna wigi nimeliona sijui simu imezingua, nauli ya bajaji n.k zote hizo hazipo

All in all lazima uwe na mke, mchepuko na ununue machangu
 
Back
Top Bottom