Kununuliwa viatu usivyovipenda

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Aisee leo wakati nipo mitaa flani nikakuta mmama anamnunulia mwanae viatu vya shule ambavyo dogo alikuwa analalamika balaa hajavipendaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nikasema kumbe wamama wa kiafrika hawabadiliki na wote wanafanana..! Siku ya kufungua shule kila kitu kipya ila kiatu sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Utasikia mama anakwambia utakuwa navyo miaka yote! Halafu ni oversize
 
nashukuru,mwanangu kila kiatu ninachomletea anakifurahia(vingine ni oversize)
 
Kuna kiatu niliwahi kuletewa nikiwa shule walah sijui waliwaza nini[emoji134][emoji134][emoji134]
Nilivyofika bwenini nilicheka mpaka basi, nikakiweka uvunguni sijui hata kilipotelea wapi.
 
Kuna kiatu niliwahi kuletewa nikiwa shule walah sijui waliwaza nini[emoji134][emoji134][emoji134]
Nilivyofika bwenini nilicheka mpaka basi, nikakiweka uvunguni sijui hata kilipotelea wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli wazee sometimes bhanaa...
 
Oversize mpaka mashati aise..Nimeangalia picha zangu za shule ya Msingi khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Vimodo vimekuja siku hizi banah wazazi zamani mabwanga ndiyo ilikua style ya zamani... Tusiwalaumu kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasikiaga kuna zile smart area, hizo area unatakiwa mtu uwe unakimbia tuuu hahahahha mnafunzwa kijeshi zaidi ila wewe felista bado hujaka kikomavu wewe hahahha
na hapo smart area no kukimbia kwa pose maana ukionwa wanakusubiri ufike afu wakurudishe tena
kimsingi mm nmekomaa kiwango cha rough road.hahhaha
 
na hapo smart area no kukimbia kwa pose maana ukionwa wanakusubiri ufike afu wakurudishe tena
kimsingi mm nmekomaa kiwango cha rough road.hahhaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ahsante kwa kunifanya nicheke
 
Sio wa mama tuuu hata wa baba, na hii ni kwa wazazi wote wa old school.
.
I was once in form three, nipo shule Sasa tukienda January kurudi June, in between viatu vikaisha ikabidi nimtume Mzee visiting day atume mtu aje navyo.
.
Kile kiatu nilikivaa once, kikubwa kila niliye kutana nae lazma acheke. Siku nimekivaa, natoka toilet narud class nkakutana na Father, akaniita. Akaniuliza whose shoes are those, nkamjibu mine, since when?! Nkajibu visitation. Akacheka akaniacha.
.
Baadae yake tukaenda Lab kufanya practical, madam alinicheka my shoes are bigggggg. Akawa ananiuliza did you borrow from your father huku anacheka...
.
Ikabidi nimtume tailor wa shule some good shoes.
 
Huyo dogo yupo kama mwanangu anachagua viatu sana, siku moja nimemletea viatu vya shule nikamwambia haya njoo ujaribu viatu kama vinakutosha, akajaribu vikamtosha fresh ila akaniambia hivi viatu ni vibaya sivipendi.
Ikabidi nimkunjie sura nikamwambia huwezi kuchagua viatu vya kuvaa Who are you? Kumbe dogo ana lake kichwani kesho yake akavaa fresh akaenda shule, sasa sijui alivifanyaje sijui alichezea mpira jioni amerudi soli zipo upande vimepasuka vibaya ikabidi niwe mpole tu nikamnunulia vingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bhasi hukununua vigumu aisee...Kuna wamama wanachagua ngozi hiyo balaa...!! Kiatu hata uwe unapigia mawe kinachukua time kuisha..Ila huyo alikukomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…