Kunyamaza ni silaha kubwa

Kunyamaza ni silaha kubwa

Ringo Malisa

Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
25
Reaction score
13
Wapinzani mkiona mnayemtendea Ubaya halipizi, Mnamchukia lakini yeye anawaonesha Upendo. Mnamdharau lakini anawaheshimu. Mnamtuhumu wala hajibu tuhuma zenu.

Mnamtenga lakini ameendelea kuwaonesha Upendo na umoja. Mnamshusha anavumilia. Mnamnunia, yeye anawachekea. Mnamhujumu yeye anasonga mbele.

Basi mjue hataki kupoteza juhudi zake za kuliletea Taifa maendeleo kwa sababu yenu. Msipokuwa makini Oktoba 2020 mtaambulia patupu. Na niwatahadhalishe kwamba msije kutuletea visingizio kuwa mmeibiwa kura au uchaguzi umevurugika.

R6.jpg
 
Ringo Malisa,

Hiyo ni kauli ya maandalizi ya kufanya Wizi, tumeisha washtukieni, na nyinyi pia mbebe dhamana ya damu itakayomwagika kutokana na Wizi mnaotaka kuufanya. Lazima mtafakari pande zote za shilingi.
 
Safi sana Rais wetu Mungu akupiganie, kunyamaza ndio jibu la wajinga


Wazungu (mabeberu kama mnavyowaita) wanasema; "A silence implies consent", yaani; Kukaa kimya maana yake ni kukiri (kukubali).---- Maana yake ni ni kukubali makosa au kukubaliana na kinachosemwa dhidi yako.

Sasa msijibaraguze kwamba kukaa kimya ni silaha, Silaha nzuri ni kujibu shutuma na hoja dhidi yako, kujibu kwa hoja bila Kiburi, majivuno, matusi na kulewa madaraka.

"Wakiandamana nitapiga Shangazi zako"🤣🤣 --- Kauli gani hizo kwa mtu aliyekabidhiwa dhamana???!!.
 
Wapinzani mkiona mnayemtendea Ubaya halipizi, Mnamchukia lakini yeye anawaonesha Upendo. Mnamdharau lakini anawaheshimu. Mnamtuhumu wala hajibu tuhuma zenu.

Mnamtenga lakini ameendelea kuwaonesha Upendo na umoja. Mnamshusha anavumilia. Mnamnunia, yeye anawachekea. Mnamhujumu yeye anasonga mbele.

Basi mjue hataki kupoteza juhudi zake za kuliletea Taifa maendeleo kwa sababu yenu. Msipokuwa makini Oktoba 2020 mtaambulia patupu. Na niwatahadhalishe kwamba msije kutuletea visingizio kuwa mmeibiwa kura au uchaguzi umevurugika.


Wewe ni Waste Product kabisa
 
Back
Top Bottom