Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Hata mie sijaelewa!January alinyimwa kura vipi? Amechaguliwa jana. Yupo NEC.
Nadhan anamaanisha idadi ya kura walizopata ni ndogo na endapo watashindanishwa na wanachama wengine kutafuta nafasi finyu kama ya kugombea Urais ndani ya Chama uwezekano wa wao kushinda ni mchache kwa maana ya kura za jumla.January alinyimwa kura vipi? Amechaguliwa jana. Yupo NEC.
Kundi la mwendazake litapenyea wapi? Maana chama kimeshikwa na watoto wa mjini. Ili mtu apate uongozi lazima jina lake lipite mikononi mwa Hawa watoto wa mjiniNi dhahiri shairi kuwa, kundi la mwendazake linanguvu kubwa ndani ya chama na ndiyo maana sasa wanachokimbilia ni kuwatisha
Mzee kawa na hasira hatariUkisikia mtu kupagawa ndio huku sasa!
Walamba asali wamechachamaa baada ya jina pendwa la January makamba na Nape Nnauye walamba asali wakuu na walamba asali kwa ujumla kupigwa chini!
Kwa Yale yanayowatoka wastaafu inatupa kuanza kuamini kwamba, nguvu yao ndani ya chama ni ya Mashaka Mashaka!
Ni dhahiri shairi kuwa, kundi la mwendazake linanguvu kubwa ndani ya chama na ndiyo maana sasa wanachokimbilia ni kuwatisha Wana CCM wenzao kwamba wasijitokeze kugombea nafasi ya urais kwa sababu walikuwa hawaamini kuwa nguvu ya mwendazake itawapiku walamba asali hawa!
Ngoja tuone!
Kama unajua jinsi lowassa alivyokuwa na alivyoshindwa utaelewa kuwa populariry haisaidii kupata urais kama wazee wakiamuaNadhan anamaanisha idadi ya kura walizopata ni ndogo na endapo watashindanishwa na wanachama wengine kutafuta nafasi finyu kama ya kugombea Urais ndani ya Chama uwezekano wa wao kushinda ni mchache kwa maana ya kura za jumla.
January alinyimwa kura vipi? Amechaguliwa jana. Yupo NEC.
Ni kwamba kura zao hazikutosha au kwa kifupi hawakupigiwa kura za kuwapa U_NEC, so kilichofanyika mwenyekiti akapenyezewa taarifa ndipo ile nafasi ya goal la mkono inapenyezwa na watu wakacheza na ubao, mara paap hao hapo!.Hata mie sijaelewa!
EbanaeeeeNi kwamba kura zao hazikutosha au kwa kifupi hawakupigiwa kura za kuwapa U_NEC, so kilichofanyika mwenyekiti akapenyezewa taarifa ndipo ile nafasi ya doal la mkono inapenyezwa na watu wakacheza na ubao, mara paap hao hapo!.
Ukisikia mtu kupagawa ndio huku sasa!
Walamba asali wamechachamaa baada ya jina pendwa la January makamba na Nape Nnauye walamba asali wakuu na walamba asali kwa ujumla kupigwa chini!
Kwa Yale yanayowatoka wastaafu inatupa kuanza kuamini kwamba, nguvu yao ndani ya chama ni ya Mashaka Mashaka!
Ni dhahiri shairi kuwa, kundi la mwendazake linanguvu kubwa ndani ya chama na ndiyo maana sasa wanachokimbilia ni kuwatisha Wana CCM wenzao kwamba wasijitokeze kugombea nafasi ya urais kwa sababu walikuwa hawaamini kuwa nguvu ya mwendazake itawapiku walamba asali hawa!
Ngoja tuone!
Nadhan anamaanisha idadi ya kura walizopata ni ndogo na endapo watashindanishwa na wanachama wengine kutafuta nafasi finyu kama ya kugombea Urais ndani ya Chama uwezekano wa wao kushinda ni mchache kwa maana ya kura za jumla.
Ni kwamba kura zao hazikutosha au kwa kifupi hawakupigiwa kura za kuwapa U_NEC, so kilichofanyika mwenyekiti akapenyezewa taarifa ndipo ile nafasi ya doal la mkono inapenyezwa na watu wakacheza na ubao, mara paap hao hapo!.
Hayo majungu tuNi kwamba kura zao hazikutosha au kwa kifupi hawakupigiwa kura za kuwapa U_NEC, so kilichofanyika mwenyekiti akapenyezewa taarifa ndipo ile nafasi ya doal la mkono inapenyezwa na watu wakacheza na ubao, mara paap hao hapo!.
Wamenuna sana.Ukisikia mtu kupagawa ndio huku sasa!
Walamba asali wamechachamaa baada ya jina pendwa la January makamba na Nape Nnauye walamba asali wakuu na walamba asali kwa ujumla kupigwa chini!
Kwa Yale yanayowatoka wastaafu inatupa kuanza kuamini kwamba, nguvu yao ndani ya chama ni ya Mashaka Mashaka!
Ni dhahiri shairi kuwa, kundi la mwendazake linanguvu kubwa ndani ya chama na ndiyo maana sasa wanachokimbilia ni kuwatisha Wana CCM wenzao kwamba wasijitokeze kugombea nafasi ya urais kwa sababu walikuwa hawaamini kuwa nguvu ya mwendazake itawapiku walamba asali hawa!
Ngoja tuone!
Kama January kanyimwa vipi kuhusu Lukuvi? 😁😁Ukisikia mtu kupagawa ndio huku sasa!
Walamba asali wamechachamaa baada ya jina pendwa la January makamba na Nape Nnauye walamba asali wakuu na walamba asali kwa ujumla kupigwa chini!
Kwa Yale yanayowatoka wastaafu inatupa kuanza kuamini kwamba, nguvu yao ndani ya chama ni ya Mashaka Mashaka!
Ni dhahiri shairi kuwa, kundi la mwendazake linanguvu kubwa ndani ya chama na ndiyo maana sasa wanachokimbilia ni kuwatisha Wana CCM wenzao kwamba wasijitokeze kugombea nafasi ya urais kwa sababu walikuwa hawaamini kuwa nguvu ya mwendazake itawapiku walamba asali hawa!
Ngoja tuone!
Wewe huoni kama Lukuvi tayari ni mzee na anatakiwa awachie wenzake tena, yeye atateuliwa mpaka lini?Kama unaamini ccm wanachaguana kwa kura huko juu pole yako. Hivi hujiulizi kivipi January, Nape, Mwigulu IN wakati Lukuvi et. al out!