Kunyimwa kura kwa January Makamba kumewachanganya walamba asali, hususani Mzee Makamba

Kama ni kweli itakuwa ni mambo ya jiwe kabisa[emoji16]
Ni kwamba kura zao hazikutosha au kwa kifupi hawakupigiwa kura za kuwapa U_NEC, so kilichofanyika mwenyekiti akapenyezewa taarifa ndipo ile nafasi ya goal la mkono inapenyezwa na watu wakacheza na ubao, mara paap hao hapo!.
 
unajua alipo Edward Ngoyai Lowasa? unajua kwann wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm wanakaa kwa mikoa? ilikuwa ni nguvu ya Lowasa
unajua alipo Kingunge?
ccm siyo kama unavyo fikiria ndugu, unaweza ukawa na nguvu ukaishia kubeba vyuma tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…