Helo wadau,
Poleni na kazi,
Naombeni mnisaidie, Mume wangu ana tatizo la kutoka vipele kwenye kidevu anaponyoa, inapelekea uso kuwa na makovu fulani, Nimemshauri awe anaenda saluni kunyoa na kufanya scrub anasema hapendelei, labda nimfanyie mimi,
Sasa naomba mnielekeze namna ya kunyoa na kufanya scrub, vitu gani muhimu kutumia n.k.
Natanguliza shukurani.
Poleni na kazi,
Naombeni mnisaidie, Mume wangu ana tatizo la kutoka vipele kwenye kidevu anaponyoa, inapelekea uso kuwa na makovu fulani, Nimemshauri awe anaenda saluni kunyoa na kufanya scrub anasema hapendelei, labda nimfanyie mimi,
Sasa naomba mnielekeze namna ya kunyoa na kufanya scrub, vitu gani muhimu kutumia n.k.
Natanguliza shukurani.