KUNYOOSHA RIMU KWA UREMBO JE HAKUNA MADHARA ??

Ukute kaandika sredi rim zikiwa kwa fundi tayari kufanyiwa mautundu[emoji16]

Itakuwa ki vitz kake ka kwanza ndio maana ni rim size 14. Thrill of the 1st car.
Sijawhi kumiliki Toyota ni Mazda Axela saloon
 

Sisi tunaiga kila kitu bila kujali madhara yake,
Sijui ni ushamba wa magari au nini?
Naonaga vijana wanatoa hadi usukani ulikuja na gari (wenye Airbags) wanaweka kiusukani cha chuma ambacho hakima Airbag.
Madhara ni makubwa sana
 
Sisi tunaiga kila kitu bila kujali madhara yake,
Sijui ni ushamba wa magari au nini?
Naonaga vijana wanatoa hadi usukani ulikuja na gari (wenye Airbags) wanaweka kiusukani cha chuma ambacho hakima Airbag.
Madhara ni makubwa sana
viuskani vya momo vya formula 1. kutokuzingatia wenzao wa formula 1 zile nguo tu wanazovaa zina airbag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…