Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 993
Usikute anakunywa vikombe 3 harafu anasema maji Mengi
Ngoja aje tumsikie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute anakunywa vikombe 3 harafu anasema maji Mengi
Sasa mkuu unaposema anapokunywa maji na kukojoa sana ulitaka hayo maji anayokunywa yaende wapi?? Hebu saidia hapo tafadhali
Nimekua nakunywa maji mara kwa mara(hovyo hovyo) na ninapokosa huwa napata shida,
Je wewe mwenyewe umeona mabadiriko ya mwili? Kama ngozi kuwa nzuri, kutougua, kuwa mwepesi, kula vizuri pia inahitajika etc
yaani unajionaje utofaiti wa kabla ya kunywa hizo lita kila siku?
nani analipa bills za maji? angalia msigombane..., kama kunywa tu lita 10, najua chooni unaenda zaidi ya mara 20 kukojoa. Kila ukiflash ni lita 9....., daah. Kwa siku jumla mamia ya lta
Wakuu,
Ninakunywa maji mengi kwa siku, lita 7 hadi 10. Nafahamu kwamba inashauriwa kwa siku mtu unywe maji yasiopungua lita 3. Je kuna madhara yoyote kiafya kwa kunywa maji yanayozidi kiasi hicho?
NB: Nafanya mazoezi ya viungo kwa wastani wa saa moja hadi moja na nusu kwa siku mara tano kwa wiki.
nani analipa bills za maji? angalia msigombane..., kama kunywa tu lita 10, najua chooni unaenda zaidi ya mara 20 kukojoa. Kila ukiflash ni lita 9....., daah. Kwa siku jumla mamia ya lta
Japo me siyo daktari lakini kuna matatizo. Unapokunywa maji mengi kupita kiasi unaondoa madini muhimu mwilini kama chumvi nk. Tafadhali tumia kila kitu kwa kiasi.