Kunywa Mkojo wako wa Kwanza wa Asubuhi ni Dawa Murua sana

Wanasema na kumsahau mtu eti mnywee kojo asubuhi
 
Kumbuka huko mto Mara mkojo umeua samaki.
 
Tunywe tuu maana hata huko kwenye mitishamba unakuta tunauziwa mikojo yao
 
Mkuu inabidi ukamatwe haraka sana, nilifuata ushauri huu ile majuzi. Nimekunywa mkojo juzi cha kushangaza jana nimeamka nina mapele mwili mzima mpaka naogopa kutoka nje kuonana na watu.
 
Ni dawa.

Ila kabla hujaanza kutumia hakikisha mkojo wako hauna infections zozote, na pia unapoamua kutumia urine therapy unatakiwa ujizuie kutumia vyakula/vinywaji vyenye sumu i.e tumia vitu ambavyo ni organic.
 
...Kwa jinsi tunavyoamini Kila kitu, Kuna atakuja kutuambia siku Moja 'Ukila Nya Yako ya asubuhi ni Dawa tosha ya Mwili wako... Natukamkubalia, kama ilivyo kawaida yetu!
Hawa Hawa Madakitari ndio walitueleza kwamba kukojoa ni njia ya kawaida ya Mwili kutoa maji na vitu vingine vilivyozidi na visivyo na Umuhimu!.... Inakuwaje Tena Mtu atuambie tunywe mkono wetu wenyewe ili kudisha mwilini vile ambayo Mwili ulishaamua kuvitoa mwilini Kwa njia ya mkojo....na sisi tunakibali TU?? Haya, kunyweni! Hili la kunywa mkojo wangu Mwenyewe naomba linipite!!
 
Vipi lazima uwe wangu? nikinywa wa dame wangu utafaa?
 
ni kitu ambacho sina ujasiri kukifanya, na siamini kama ni dawa. ingekuwa dawa, hakuna mtu angekuwa anaumwa hayo matatizo kwasababu dawa anayo mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…