Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,323
Reaction score
10,813
Habari Wakuu!

Imekuwa sasa ni tabia kwa baadhi ya Wanaume wajinga kurusha makombora, vijembe na kejeli kwa dada zetu Single Mother. Wengi wamekuwa wakiwapa maneno ya dhihaka, shutuma na shombo kwa kuwaona hawafai, kuwaona ni wanawake rahisi na wasioweza kufunga nyuchi zao. Jambo ambalo linaweza kuwa kweli na wakati huo huo si kweli. Na kama jambo lolote linapande mbili basi tunaweza hitimisha ni Opinion wala si fact.

Wanaume wenzangu, hakuna tofauti kubwa iliyopo baina ya kuoa mwanamke aliye single mother na yule asiye na bikra. Hawa wote wapo katika kundi moja. Tofauti ni kwamba mmoja hakushika mimba wakati mwingine alishika mimba. Au wote walishika mimba lakini mmoja alikubali kuzaa wakati mwingine alifanya abortion.

Hao wote tayari walikuwa na wapenzi wao kabla. Wote walikuwa wanawapenda kuliko atakavyo kupenda wewe. Hakuna asiyejua mpenzi wa kwanza unavyompenda.

Mimi binafsi siwezi kuwalaumu ma-single mother kutokana na hali zao. Nawakubali kiasi fulani japokuwa si cha kuwafanya wawe katika ndoa na mimi. Siwezi kuoa mwanamke nisiyekuta bikira yake. Siwezi asilani.

Mwanaume kama unatabia ya kuwabeza ma-single mother wakati umeoa mwanamke usiyemkuta na bikira basi huna tofauti na nyani kucheka kundu la mwenzake wakati lake linashahabiahana mwenzake. Mtu hana bikira utajuaje alitoa mimba, utajuaje alitoka na wanaume wangapi. Je utawezaje kuamini maneno yake kwamba hatakusaliti ikiwa hukukuta alama yake ya uaminifu wa mapenzi ambayo ni Bikra.

Ni ujinga kuwacheka single mother ilihali unaendekeza wanawake kuoa wanawake wasio na bikra.
Mambo yote sisi wanaume ndio chanzo, hivi unafikiri kama wanaume wangesema hatuoi mwanamke asiye na bikra unadhani wanawake wangekuwa wepesi. Wanawake wametudharau, wameona wanaume wa siku hizi ni wepesi kutumia mitumba kuliko kitu Kipya. Wanaume tumekuwa kituko kwakweli.

Mbaya zaidi mtu anafunga ndoa takatifu na mwanamke asiye bikira. Kweli dunia imevaa dera. Ndoa takatifu au Ndoa najisi. Wanaume tukiendekeza vitu vya mitumba tutashuhudia mengi sana. Mwanaume timamu na aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke asiye na bikra. Ukipinga hili ujue unatatizo la msingi na hujui ni kwa nini Mungu aliiweka hiyo bikra.

Hakuna raha uwe na mwanamke aliyebikra umpende na kumheshimu, umpe mapenzi moto. Mwanamke wa namna hii hata umwambie chochote anakubali. Mungu aliposema mwanaume atamtawala mwanamke alimaanisha mwanamke bikra sio upuuzi mwingine. Mwanamke bikra ni mwepesi kumtawala kuliko kitu chochote, ni mwaminifu na hana pingamizi lolote kwa chochote.

Wanawake wanapunguza mapenzi pale wanapoachwa na mpenzi wa kwanza. Hapo ndipo kiburi na kutokuwa na imani na wanaume kunaanza.

Sio rahisi kwa mwanamke kumkatalia ex wake eti kisa waliachana na kisa yupo na wewe. Naongea kwa uzoefu. Wengi wanakubali kurudiana kwa siri sana. Pia ni ngumu mwanamke uliyemtoa bikra kuanzisha uhusiano na mtu mweingine ikiwa wewe upo na unafanya majukumu yako. Lakini mwanamke uliyekuta bikra haipo hata umpe nini kutoka ni rahisi sana.

Nihitimishe kwa kusema. Hakuna tofauti kubwa kati ya single mother na asiye na Bikra lao ni moja.
Hivyo wanawake wenye watoto msife moyo kwani baadhi ya wanaume wanajidanganya tuu. Pia wafunzeni wabinti zenu kuwa wasafi kwani moja ya baraka kwenye ndoa ni mwanamke kukutwa na bikra.

Nawasilisha, Povu ruksa.
 
Mkuu bikra ni nadharia tu. Maana dini inasema ukishatamani tu umezini sasa habari za kuchunguza bikra sidhani kama zina tija. Ukimpenda mtu haijalishi ni Single mother ana bikra au hana.


Mkuu acha kuchekesha, bikra ni nadharia wakati wanawake wanazo!!! Umenishangaza kweli Hujui hata dini inazitambua hizo bikra. Au hujui moja ya sifa ya mwanamke mzuri ni bikra yaani hajawahi kulalwa.

Hayo mafundisho mnapewaga wapi mkuu?
usipende kurahisisha mambo. Bikra inatambulika kimwili, zaidi sana inatambulika kiroho.

muulize Mshana Jr akufundishe habari za bikra na umuhimu wake
 
Zaman wanaume kupata bikra ilikua rahisi..

Baadae tukaanza omba kupata bikra..wapiii

Baadae tukaanza kuomba tupate ambaye japo hana lkn anajitunza..wapiii

Baadae tukaja omba japo hajitunzi lkn awe hajatoa mimba....wapiiiii

Baadae tukaomba angalau basi awe na mtoto mmoja...wapiiii


Tunakoelekea TUTAANZA KUOMBA TUKUTE MTU HAJAFUNULIWA MALINDA[emoji23]

Maana atakua hana bikra,keshatoa mimba,ana mtoto ....wat next??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Wakuu!

Imekuwa sasa ni tabia kwa baadhi ya Wanaume wajinga kurusha makombora, vijembe na kejeli kwa dada zetu Single Mother. Wengi wamekuwa wakiwapa maneno ya dhihaka, shutuma na shombo kwa kuwaona hawafai, kuwaona ni wanawake rahisi na wasioweza kufunga nyuchi zao. Jambo ambalo linaweza kuwa kweli na wakati huo huo si kweli. Na kama jambo lolote linapande mbili basi tunaweza hitimisha ni Opinion wala si fact.

Wanaume wenzangu, hakuna tofauti kubwa iliyopo baina ya kuoa mwanamke aliye single mother na yule asiye na bikra. Hawa wote wapo katika kundi moja. Tofauti ni kwamba mmoja hakushika mimba wakati mwingine alishika mimba. Au wote walishika mimba lakini mmoja alikubali kuzaa wakati mwingine alifanya abortion.

Hao wote tayari walikuwa na wapenzi wao kabla. Wote walikuwa wanawapenda kuliko atakavyo kupenda wewe. Hakuna asiyejua mpenzi wa kwanza unavyompenda.

Mimi binafsi siwezi kuwalaumu ma-single mother kutokana na hali zao. Nawakubali kiasi fulani japokuwa si cha kuwafanya wawe katika ndoa na mimi. Siwezi kuoa mwanamke nisiyekuta bikira yake. Siwezi asilani.

Mwanaume kama unatabia ya kuwabeza ma-single mother wakati umeoa mwanamke usiyemkuta na bikira basi huna tofauti na nyani kucheka kundu la mwenzake wakati lake linashahabiahana mwenzake. Mtu hana bikira utajuaje alitoa mimba, utajuaje alitoka na wanaume wangapi. Je utawezaje kuamini maneno yake kwamba hatakusaliti ikiwa hukukuta alama yake ya uaminifu wa mapenzi ambayo ni Bikra.

Ni ujinga kuwacheka single mother ilihali unaendekeza wanawake kuoa wanawake wasio na bikra.
Mambo yote sisi wanaume ndio chanzo, hivi unafikiri kama wanaume wangesema hatuoi mwanamke asiye na bikra unadhani wanawake wangekuwa wepesi. Wanawake wametudharau, wameona wanaume wa siku hizi ni wepesi kutumia mitumba kuliko kitu Kipya. Wanaume tumekuwa kituko kwakweli.

Mbaya zaidi mtu anafunga ndoa takatifu na mwanamke asiye bikira. Kweli dunia imevaa dera. Ndoa takatifu au Ndoa najisi. Wanaume tukiendekeza vitu vya mitumba tutashuhudia mengi sana. Mwanaume timamu na aliyekamilika hawezi kuoa mwanamke asiye na bikra. Ukipinga hili ujue unatatizo la msingi na hujui ni kwa nini Mungu aliiweka hiyo bikra.

Hakuna raha uwe na mwanamke aliyebikra umpende na kumheshimu, umpe mapenzi moto. Mwanamke wa namna hii hata umwambie chochote anakubali. Mungu aliposema mwanaume atamtawala mwanamke alimaanisha mwanamke bikra sio upuuzi mwingine. Mwanamke bikra ni mwepesi kumtawala kuliko kitu chochote, ni mwaminifu na hana pingamizi lolote kwa chochote.

Wanawake wanapunguza mapenzi pale wanapoachwa na mpenzi wa kwanza. Hapo ndipo kiburi na kutokuwa na imani na wanaume kunaanza.

Sio rahisi kwa mwanamke kumkatalia ex wake eti kisa waliachana na kisa yupo na wewe. Naongea kwa uzoefu. Wengi wanakubali kurudiana kwa siri sana. Pia ni ngumu mwanamke uliyemtoa bikra kuanzisha uhusiano na mtu mweingine ikiwa wewe upo na unafanya majukumu yako. Lakini mwanamke uliyekuta bikra haipo hata umpe nini kutoka ni rahisi sana.

Nihitimishe kwa kusema. Hakuna tofauti kubwa kati ya single mother na asiye na Bikra lao ni moja.
Hivyo wanawake wenye watoto msife moyo kwani baadhi ya wanaume wanajidanganya tuu. Pia wafunzeni wabinti zenu kuwa wasafi kwani moja ya baraka kwenye ndoa ni mwanamke kukutwa na bikra.

Nawasilisha, Povu ruksa.
Kumbuka kuoa single mother ni tofaut kabisa. Kumbuka kuoa single mother tayari Unaanza kuitwa Baba wa kambo. Mke ataendeleza mawasiliano na EX kwaajili ya mtoto ambayo ni hatari Kwa ndoa.Unaanza kulea kabla hujazaa, Respect ya Yule mtoto haiwezi Kuwa Sawa kama angekuepo Baba yake, uleaji wa mtoto wa kambo ni ngumu akikosea umpe adhabu atasema unamuonea because sio Baba yake. Kuna wanawake wengi tumedate nao na kukasahauliana Ila kama kuna mtoto mawasiliano huendelea. Kwaio utofauti ni mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zaman wanaume kupata bikra ilikua rahisi..

Baadae tukaanza omba kupata bikra..wapiii

Baadae tukaanza kuomba tupate ambaye japo hana lkn anajitunza..wapiii

Baadae tukaja omba japo hajitunzi lkn awe hajatoa mimba....wapiiiii

Baadae tukaomba angalau basi awe na mtoto mmoja...wapiiii


Tunakoelekea TUTAANZA KUOMBA TUKUTE MTU HAJAFUNULIWA MALINDA[emoji23]

Maana atakua hana bikra,keshatoa mimba,ana mtoto ....wat next??

Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu umetisha sana.
Hii yote inaonyesha ulegevu wa sisi wanaume nenda huko uhindini, na uarabuni ukajionee bikra za kumwaga.
Hii inaashiria msimamo wa wanaume dhidi ya wanawake katika jamii hizi.

Hawa wakwetu tunawaendekeza tuu.
 
Kumbuka kuoa single mother ni tofaut kabisa. Kumbuka kuoa single mother tayari Unaanza kuitwa Baba wa kambo. Mke ataendeleza mawasiliano na EX kwaajili ya mtoto ambayo ni hatari Kwa ndoa.Unaanza kulea kabla hujazaa, Respect ya Yule mtoto haiwezi Kuwa Sawa kama angekuepo Baba yake, uleaji wa mtoto wa kambo ni ngumu akikosea umpe adhabu atasema unamuonea because sio Baba yake. Kuna wanawake wengi tumedate nao na kukasahauliana Ila kama kuna mtoto mawasiliano huendelea. Kwaio utofauti ni mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Tofauti ni mtoto mkuu, hayo mengine ni sawa tuu. Asiye na bikra hana la ziada kwenye tabia kumshinda single mother. Haya utajuaje alitoa mimba? Yaani ni muuaji, asiye na huruma n.k.

Ndoa nyingi zinasumbua kutokana na wanaume kuchukua kitu used, Kitu cha mtumba. Shida ukishazoea kununua simu za mtaani, nguo zilizotumika, magari yaliyotumika n.k hutaona tabu kuchukua mwanamke asiye na bikra.

Muache tabia ya kusema single mother kwani anathamani kushinda asiye na bikra. Kitu pekee kinachomfanya single maza awe mbele kwa uthamni dhini ya asiye na bikra ni mtoto, ambayo ni dalili ya yeye sio tasa.

Bikra ndio suluhu la ndoa za sasa.
 
Back
Top Bottom