Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Wewe mleta mada mambo yetu wanawake ya kuwa na bikra, single mother yanakuhusu nini unahtaji ukue kiakili

Sent using Jamii Forums mobile app

Hili ni jukwaa huru, mtu hutoa kile aonacho kinafaa ili kutoa elimu kwa watu. Elimu hii inaweza kukufaa au isikufae. Lakini kama unamtoto wa kiume please naomba umpe elimu hii. Kama mmeo alichukua kitu used naomba isijitokeze kwa mwanao.

Wasalamu
 
Nakuambiaje, kama wanaume wakisema hatuoi mwanamke asiye na bikra amini usiamini hakuna mwanamke mrahisi kuachia kipochi manyoya chake. Wanawake wanapenda ndoa. Shida ni kuwa wanaume tumekubali kutumia vitu vya mitumba. Binafsi hilo halitatokea katika ndoa yangu. Nimelisimamia na sasa nimefanikiwa 90%
Ofcoz , sheria ni sheria ila ni ngumu mkuu[emoji23]



Basi iwe ivi..."Mimi mwanaume sitotongoza mwanamke wala kufanya mapenz hadi wakati wa ndoa"...

Unajua madem hawajitii wenyewe??? ..sometime nisis ndo tunawaingiza.

Chek hii...kuna kile kipindi cha NUHU..wana walikua wanakula TIGO..yaan wanawake wapo lkn Wakawa wanafirana wao kwa wao.

Sasa ivi ndo kinatokea..... Kwaufupi nasisi wanaume kwasasa tumekoswa sifa ya UONGOZI tuloumbwa nayo.

Wanawake zaman walijitunza sana mpaka miaka 2000 bikra ilikua rahisi..ila saizi[emoji23].

Unakuta demu katembea na wanaume idadi yao nikubwa kushinda hata umri wake.
 
Tofauti ni mtoto mkuu, hayo mengine ni sawa tuu. Asiye na bikra hana la ziada kwenye tabia kumshinda single mother. Haya utajuaje alitoa mimba? Yaani ni muuaji, asiye na huruma n.k.

Ndoa nyingi zinasumbua kutokana na wanaume kuchukua kitu used, Kitu cha mtumba. Shida ukishazoea kununua simu za mtaani, nguo zilizotumika, magari yaliyotumika n.k hutaona tabu kuchukua mwanamke asiye na bikra.

Muache tabia ya kusema single mother kwani anathamani kushinda asiye na bikra. Kitu pekee kinachomfanya single maza awe mbele kwa uthamni dhini ya asiye na bikra ni mtoto, ambayo ni dalili ya yeye sio tasa.

Bikra ndio suluhu la ndoa za sasa.
Mimi ata iweje simshauri mtu kuoa single mother ni shida tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ase nina mke wangu mtarajiwa mzuri nilimkuta sealed nikafungua mwenyewe, kwakweli tunaelewana sana ananiheshimu pia namuheshimu. Niko nae miaka tano sasa, nikiumwa hua anachanganyikiwa sana mpaka sometime hua navunga tu asijue .Msichana ukimkuta bikra huyo oa kabisa maana namimi nipo kwenye mpango na huyu baby wangu hua hawana maigizo ya kupenda akikupenda kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jukwaa huru, mtu hutoa kile aonacho kinafaa ili kutoa elimu kwa watu. Elimu hii inaweza kukufaa au isikufae. Lakini kama unamtoto wa kiume please naomba umpe elimu hii. Kama mmeo alichukua kitu used naomba isijitokeze kwa mwanao.

Wasalamu
Kwani wewe ni bikra hapo maana wengine walitolewa bila kuwa na ufahamu, hafu u single mother hupata yoyote na sio dhambi, ukijua kwenye maisha no one is perfect hutaona shida mapito wanayopitia wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcoz , sheria ni sheria ila ni ngumu mkuu[emoji23]



Basi iwe ivi..."Mimi mwanaume sitotongoza mwanamke wala kufanya mapenz hadi wakati wa ndoa"...

Unajua madem hawajitii wenyewe??? ..sometime nisis ndo tunawaingiza.

Chek hii...kuna kile kipindi cha NUHU..wana walikua wanakula TIGO..yaan wanawake wapo lkn Wakawa wanafirana wao kwa wao.

Sasa ivi ndo kinatokea..... Kwaufupi nasisi wanaume kwasasa tumekoswa sifa ya UONGOZI tuloumbwa nayo.

Wanawake zaman walijitunza sana mpaka miaka 2000 bikra ilikua rahisi..ila saizi[emoji23].

Unakuta demu katembea na wanaume idadi yao nikubwa kushinda hata umri wake.


Wanaume kiasili ni msumbufu tuu.
lazima amsumbue mwanamke.

Leo wanaume waseme tunahitaji wanawake vimbaumbau uone nini kitatokea kwa hawa ndugu zetu.
Wanaume ndio wanaendekeza ujinga. Alafu wakisalitiwa wanaishia kujinyonga, kunywa mipombe na kutoa shutuma kwa hawa kinadada.

Hivi wanaume wakisema hatuoi bila bikra unadhani mwanamke atakubali kucheza nage. Au atakubali kuacha ndoa yake wakati anajua akiachika hakuna wa kumchukua.
 
Ofcoz , sheria ni sheria ila ni ngumu mkuu[emoji23]



Basi iwe ivi..."Mimi mwanaume sitotongoza mwanamke wala kufanya mapenz hadi wakati wa ndoa"...

Unajua madem hawajitii wenyewe??? ..sometime nisis ndo tunawaingiza.

Chek hii...kuna kile kipindi cha NUHU..wana walikua wanakula TIGO..yaan wanawake wapo lkn Wakawa wanafirana wao kwa wao.

Sasa ivi ndo kinatokea..... Kwaufupi nasisi wanaume kwasasa tumekoswa sifa ya UONGOZI tuloumbwa nayo.

Wanawake zaman walijitunza sana mpaka miaka 2000 bikra ilikua rahisi..ila saizi[emoji23].

Unakuta demu katembea na wanaume idadi yao nikubwa kushinda hata umri wake.
Umeandika la maana sisi wanawake ni receiver, sasa kutu laumu sisi nayo haina mashiko siku nyie mkigoma kufanya hyo case itaheshimiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wewe ni bikra hapo maana wengine walitolewa bila kuwa na ufahamu, hafu u single mother hupata yoyote na sio dhambi, ukijua kwenye maisha no one is perfect hutaona shida mapito wanayopitia wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu uliwahi kusikia mwanaume ana bikra wapi. Hiyo elimu ulipewa na nani Mkuu?
Kumbe unajua kuwa hakuna mtu perfect ndio maana mada inasema kuoa asiye bikra na single mother hakuna tofauti kubwa. Yote ni matatizo makubwa yakujitakia. Utachukuaje kitu mtumba wakati unauwezo wa kupata kipya.
 
Ase nina mke wangu mtarajiwa mzuri nilimkuta sealed nikafungua mwenyewe, kwakweli tunaelewana sana ananiheshimu pia namuheshimu. Niko nae miaka tano sasa, nikiumwa hua anachanganyikiwa sana mpaka sometime hua navunga tu asijue .Msichana ukimkuta bikra huyo oa kabisa maana namimi nipo kwenye mpango na huyu baby wangu hua hawana maigizo ya kupenda akikupenda kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app


Huyo hata akikusaliti utasema amepitiwa na ni bahati mbaya. Unaweza kumsamehe na kusema kweli sio tabia yake lakini hao wengine utawatetea vipi mkuu wakati hukukuta bikra. Si utajua ndio tabia wanaiendeleza
 
Back
Top Bottom