Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi hata sihangalii hogo au kibamia na angalia roho yako, utu wako wema na tabia njema sasa akiwa na hogo huku ajiheshimu sikujitaftia matatizoHa haaaaaaa wee kusema ukweli. Unapenda kibamia au hogo?? Simnapenda hogo eti zinawagusa kila kona .
Ndio maana mnatest kwanza
Nikweli kabisa, heri wewe unajua unachotaka, wenzako wanachagua mpaka Mashine ..wanasema hawatak zile ukikohoa au kucheka zinachomoka[emoji23]Mi hata sihangalii hogo au kibamia na angalia roho yako, utu wako wema na tabia njema sasa akiwa na hogo huku ajiheshimu sikujitaftia matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanayafanya hayo yote na wanawake wenzao au wanaume?Zaman wanaume kupata bikra ilikua rahisi..
Baadae tukaanza omba kupata bikra..wapiii
Baadae tukaanza kuomba tupate ambaye japo hana lkn anajitunza..wapiii
Baadae tukaja omba japo hajitunzi lkn awe hajatoa mimba....wapiiiii
Baadae tukaomba angalau basi awe na mtoto mmoja...wapiiii
Tunakoelekea TUTAANZA KUOMBA TUKUTE MTU HAJAFUNULIWA MALINDA[emoji23]
Maana atakua hana bikra,keshatoa mimba,ana mtoto ....wat next??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila mtu anaamini dini za wazungu na waarabu walizowaletea ili kuwatawala.Mkuu acha kuchekesha, bikra ni nadharia wakati wanawake wanazo!!! Umenishangaza kweli Hujui hata dini inazitambua hizo bikra. Au hujui moja ya sifa ya mwanamke mzuri ni bikra yaani hajawahi kulalwa.
Hayo mafundisho mnapewaga wapi mkuu?
usipende kurahisisha mambo. Bikra inatambulika kimwili, zaidi sana inatambulika kiroho.
muulize Mshana Jr akufundishe habari za bikra na umuhimu wake
Mi na angalia vtu vingi ukitoa sex maisha mengine lazima yaendelee tu sasa siku mtu akishindwa Ku do ndo mapenzi yanakufaNikweli kabisa, heri wewe unajua unachotaka, wenzako wanachagua mpaka Mashine ..wanasema hawatak zile ukikohoa au kucheka zinachomoka[emoji23]
Sio kila mtu anaamini dini za wazungu na waarabu walizowaletea ili kuwatawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi na angalia vtu vingi ukitoa sex maisha mengine lazima yaendelee tu sasa siku mtu akishindwa Ku do ndo mapenzi yanakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Doohhh hadi raha...siku ili nilikiambia nijaribumo [emoji23]Mi na angalia vtu vingi ukitoa sex maisha mengine lazima yaendelee tu sasa siku mtu akishindwa Ku do ndo mapenzi yanakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeanza nae tangu sina kitu mpaka sasa, japo mambo hayajanyooka sana ila ndio kama tumeanza juzi. Ogopa unaambiwa " mume wangu huu mwaka usipite bila kununua kiwanja". Imebidi nimpeleke hom kijanja janja kama rafiki na saivi anaweza hata lala kiufupi huyu ntaoa tuusichezee hiyo nafasi ikiwezekana anza kumtumia kidogo kiuchumi ili iwe ngumu kwake kukuacha. Na hata akikuacha aumie hasara aliyoipata. Ishi nae kwa akili
Nimeanza nae tangu sina kitu mpaka sasa, japo mambo hayajanyooka sana ila ndio kama tumeanza juzi. Ogopa unaambiwa " mume wangu huu mwaka usipite bila kununua kiwanja". Imebidi nimpeleke hom kijanja janja kama rafiki na saivi anaweza hata lala kiufupi huyu ntaoa tu
Sent using Jamii Forums mobile app