Sija-mind; unawadharirisha mkuu! Unajua idadi yao ni kubwa kuliko sisi so .. waache tu jamani. Nikiangalia mademu ambao nina ukaribu nao ambao ni single mother au nina uhakika wamemegwa ni wengi sana.hahahaaa! mkuu umemaind ee
Thank youDoohhh hadi raha...siku ili nilikiambia nijaribumo [emoji23]
You are good lady cariha
Una mpenzi?
Nataka kujua if your seat is booked !!
Yes Cariha for an insurance purposes
Haya ndo maneno ukitaka bikira na ww tuliaNa anzia hapa. Bikra inatolewa mara moja hali kadhalika mimba inaingia mara moja.
Zinaa ni deni kaka,wewe kama ni mzinifu usitegemee kuoa mfano wako.
Hata mambo ya kuoa bikra au kuto kuoa bikra majibu yake sahihi ni ya kiroho kama baadhi ya watu wanavyoita yaani ya kidini.
Lazima watu wajue hapa duniani watu wanaishi pande mbili,mimi nasema ulimwengu mbili za kimahusiano.
Ulimwengu wa kwanza ni ule ambao si wa kidini huu kupata suluhisho la jibu hili ni ngumu sana.
Ulimwengu wa pili ni ulimwengu wa dini. Ulimwengu wa dini unatambua thamani ya mwanamke na nafasi yake. Unatambua ya kuwa maisha hayaishi katika bikra tu,wala katika kuzaa,bali wala katika kukosa uzao.
Bikra ni heshima ya mwanamke na ni thamani kubwa kwake lakini katu bikra haijawahi kuleta ubora wa mwanamke. Ubora wa mwanamke ni uchamungu wake,bali kwa kila binadamu.
Sisi binadamu tuna badilika kila kukicha leo unalala ukiwa mwema kesho una amka ukiwa muovu. Cha msingi sisi wanaume tuombe salama na tuombe wake wema,ukijaaliwa kumpata mwema na ukamtengenezea mazingira mazuri ya usimamiza lazima utafurahia maisha.
Kama hujaelewa vyema maandishi yangu,rejea kauli hizi "ZINAA NI DENI" na "USIPIGE PASI NGUO IKIWA CHAFU" na "NDEGE WAFANANAO NDIO HURUKA PAMOJA"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kuzuga mkuu hakuna asiyetambua na asiyetamani hilo ila historia na nafsi itakuhukumu wakati unataka kuoa maana mwenyewe hukuwa wa mchezomchezo walishakukoma huko sasa hao uliopitanao huko unataka mwenzio ao au wataolewa na nani? Mara nyingi tunafanya kubadilishana wake tu, mi nimeacha mwenzangu anapitanaye mbele mwenzangu ametupa mm nakidaka maisha ya sahiv yapo hivyo unafika unataka kutulia basi ulikofika unaweka kambiNi ndoto ya kila mwanaume kuoa bikra ila kwa vile nowadays ni ngumu ....basi watu wanazuga na Maneno ya kujifariji
Niache kuwaza kutafuta pesa nitafute na bikira kwa zama hizi! Ulichokiandika ni sahihi kwa asilimia 99.9999 lakin kutafuta bikira nakudhani itakulindia ndoa kwa zama hiz ni sawa nakumulika tochi wakati jua ni kali zamani miaka 16-25 mwanaume anaoa na mtoto wa kike anaolewa so hata mwanaume mweyewe anakuwa anaanza kufanya tendo la ndo kwa mara ya kwanza na mke wake ,lakini siku hizi miaka 28 ndo kwanza upo mwaka wa kwanza chuo au hata kama umemaliza unasaka ajira almost wengi wanaume wanakuwa tayari kuoa 30y kwenda juu je umetoa bikira ngapi mpaka muda huo hata kama hujakutana nayo umepita na wangapi? Sasa ww sio msafi unataka awe msafi iweje? Kama tutaka kuoa bikira tuanze kubadilika sisi wakati hatuko tayari kuoa tusihitaji pia kinacholiwa na wanandoa hapo tuone hizo bikira watazitoa na ndizi au nadhani hata wanawake wakisema wasitupe kabla ya ndoa hata sisi wanaume tutaoa mapema sana so kusingekuwepi na wasioingilia ndoa za watu, kuhitimisha ni hivi single mother namrespect kuliko wasio na bikira afu hawana watoto koz huyo ni mama kweli kwa wanao kuliko ambaye hujui kama alitupa mtoto suala lakusema ataendeleza mahusiano na baba wa mtoto achana nalo maana akitaka hautaweza kumzuia ni yy tu kujitenga na historia yake kumbuka hata ww unahistoria yako pengine umeshakataa na watoto huko ila unajitapa nataka bikira mazee tuachr kuonea wanawake ni mama zetu ni dada zetu pia ni wake zetu wanatupa heshima yakuitwa baba na kuitwa wajomba kisa tu wamepewa udhaifu tunawashawishi kirahisi basi tusiwafanye shimo la lawama ya kila kinachoendelea kwenye jamii just jua tu zama zimebadilika kama umeshindwa kupata mke mwema tafuta mama bora kwa wanao hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwenyewe hutaki kuwasaidia hao halafu bado unawatetea.Ndugu yake Yesu, Double standard inatoka wapi?
Where is the pun there?Your mind ain't so open.
Oops forgive the pun
We mwenyewe hutaki kuwasaidia hao halafu bado unawatetea.
Unang'ata na kupuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Virginity = ?
Mimi binafsi siwezi kuwalaumu ma-single mother kutokana na hali zao. Nawakubali kiasi fulani japokuwa si cha kuwafanya wawe katika ndoa na mimi. Siwezi kuoa mwanamke nisiyekuta bikira yake. Siwezi asilani.kuwasaidia nini mkuu?